Natamani kujua kwanini alinificha jambo hili

Natamani kujua kwanini alinificha jambo hili

Msimamo wako usije kuponza pia...upendo wa ukweli hautajali kama ana mtoto, ila kosa ni ye kutokuambia ukweli na pia we unafanya nini mpaka wazazi wako ndio wachunguze....u need seminar relationship skills, friendship, dating n coutship...pole sana
 
Kama ulimuuliza akatishia kukuacha kuna kitu kimejificha tafuta mbinu ya kutekeleza waliyokuambia wazazi na huyo aliyekupigia cm embu hakikisha katika hilo cjui utatumia mbinu gani kazi kwako,
 
Alitakiwa akwambie hata kma kampata ndani ya mahusiano unastahili kujua. Mapema kabla hata yakumtambulisha kwa wazazi.
Kwa upande wangu ningemuacha maana si mkweli ba mtu muongo ni hatari sana kwenye mahusiano.
 
Kwa akili za baadhi ya wanaume wa kibongo alijua akikwambia unaweza ubadili mawazo ya kuwa nae hapo plan ilikuwa akushtukizie mkishaoana ndo akwambie na anajua usingemuacha madhali mmeshafunga ndoa.

Na kitendo chake cha kukupa threats za kuachana ni kwasababu hakupendi kivile....and he wants to show you he is the man,ni mfumo dume,aharibu yeye kisha kibao anakugeuzia wewe,typical men hasa akijua unampenda utaiona cheche!!!

Nanukuu umesema hutaki kuwa na mtu mwenye mtoto...well umepewa chance ya kuanza upya.He is not the one for you.Ushauri wa ziada jitayarishe psycologically na cases kama hizi in the future it might happen again afterall a child is a blessing but him lying doesnt justify his actions!!
 
Binafsi napenda saaaana ukweli katika maisha yangu but nauthamini saaana mchango wa uongo katika maisha yangu.
Nampa pole huyo unayemwita mwenza kwa kumkana mwanae kisa mwanamke. Me nina mtoto nimezaa kabla ya kuoa but piga ua na ugalagaze siwezi kumkana mwanangu.

Kweli kaka ukifanya hv we ni zaidi ya mnyama
 
Fanya maombi ikiwezekana kwa kufunga,Omba mapenzi ya MUNGU katika hilo kisha amua kwa kuzingatia wapi unapata amani ya moyo
 
Yes georgesi....uko correct sana wanaume wengi hapo kudanganya kunatokana na uoga wa kukataliwa..thaS not cotrect t do so.....ukweli ndio mzuri kama mwanaune unakataliwa kwa kuwa una mtoto then its was not meant but naye ana lavkujifnza si rahisi apate anchotaka hasa saa hivi....either utampata hana mtoro muongo zaidi au ana michepuko mingi etc....issue mleta thtead jiandae kisaikolojia ndio issue kubwa na wengi wetu life skills haipp kabisa, psychological counceling on love sex n relationship.....u need to be knowledgeable on that
 
Proverbs/ mithali 3:5
Mtumaini bwana kwa moyo wako wote, wala usitegemee akili zako mwenyewe.
 
Kwanini alipoambiwa ana mtoto akaendelea kukataa na kutishia kumwachaa? Mtoto si kitu cha ajabu kama ishatokea na mtoto hafichwiii.
Huyo mwanaume hakufai atakuja kukusumhua sana maana kama kweli anaupendo ulipomuuliza angekubali na kuomba msamaha badala ya kutishia kukuacha.
 
Ulipomuuliza akawa mkali kisha akatishia kukuacha. Fungua akili.

Hata mimi hapo ndio nimeona maruerue
mtu anakutishia kukuacha kwa makosa yake?????
it reminds of my friend,yeye alikua jamaa akikosea naulizwa "sasa kama unaona nina kosa sana unakaa na mimi ya nini,si uondoke???
hizi ni dharau za hali ya juu

Tatizo sio mtoto ila uongo wa huyo kaka
mtu unapoanza uhusiano na mtu usidanganye vitu ambavyo ni vya msingi e.g umri,watoto,income(sio bank statements)
we tend to give illusions to people we want to be with na they fall inlove with the illussions and not the real person and we expect them to suck it up wakishatujua na maisha kuendelea..once trust is broken it takes a century to rebuild it and at times a century is not enough.
 
FIRST
1. Kakucheat mpaka kapata mtoto
2. Anakataa wakati ni kweli( Wazazi wako sio wajinga maana hawana sababu ya kuongopa)

Kubwa kuliko yote ni kukutishia kukuacha, yani hili ndio baya na ndio ambalo unatakiwa kuliangalia zaidi kuliko hata Swala la kutokuwa muwazi.

Jamaa hakupendi, anakuchukulia poa maana angekuwa na busara na upendo asingekutishia kukuacha wakati yeye ndio mkosaji. Hapo hamna mume dada yangu

SECOND
1. Umewadharau wazazi wako na kutowaamini
2. Mtu anakutushia kukuacha halafu na wewe unajaa upepo unapanic

Kawaombe msamaha wazazi wako kwa ulichowafanyia, wanakupenda mpaka wakakusaidia kufanya uchunguzi

ambao wewe ulitakiwa ufanye au utambue sababu ni mtu wako.
ww mdada huu ndio ushauri,ufanyie kazi ,huyo sio mwanaume

Mwisho kabisa acha Kuwa kama kipofu, Kupenda gani huko ambako unaona red flag waziwazi halafu unang'ang'ania tu kuendelea na mahusiano kisa kakuahidi ndoa!! Ndoa haina maana kama unaolewa na mtu ambaye hajali hisia zako kiasi cha kukutishia kukuacha kwa kosa lake mwenyewe. Atakuendesha sana huyo

MWISHO
Mimi nina mtoto nje ya mahusiano yangu Lakini huyo jamaa yako sikushauri aisee sababu hana busara,ishu sio mtoto bali ni jinsi gani kama mwanaume anayekupenda ambavyo anatakiwa kulishughulikia hilo swala.be careful.

Kazi Kwako
I am out
huu ndio ushauri
 
Baada ya kumcomfront kuhusu kuwa na mtoto kwa nini atishie kukuacha???????anaona kuwa you need this relationship more that he does.

Kwa nini alipoona umejua hakukiri?? maana kukuficha at the beginning pengine alikuwa anatafuta wakati muafaka..lakini baada ya kuona umejua angekubali tu

Msimamo wako wa kutotaka kuingia katika ndoa na mtu mwenye mtoto sio mzuri..ila kuingia katika ndoa na mwanamme wa namna hii ndo mbaya kabisa.


Show him that you are not desperate dada!!! mwambie tena hii ishu na akitaka kutishia kukuacha muulize "do you see me crying?"

Na kwa nini unaacha watu wengine wakufanyie kazi yako mwenyewe ya ugunduziiii? unajua sana kupenda eeeh?

Capt Nemo

please tell me why mtu akiweka msimamo hataki mtu mwenye mtoto tayari ni vibaya

kwanini tumpangie mtu vigezo vyake vya kuchagua mwenza?
kama watu wanataka wenza weupe,wenye miguu mizuri,big a@@ etc na ni vigezo ambavyo ni vya kuzaliwa navyo na tunaacept why not kigezo ambacho most times kipo within our capabilities?

Mimi nadhani we need to respect ones decision na jinsi anataka kuishi as long as hamuumizi mtu
huwezi jua huyu dada aliwahi kupitia vitu gani utotoni ambavyo vimemuinfluence kuwa alivyo leo
for example:
i have a friend,her grandmother aliolewa na mume wa mtu and huyo bibi alitoa kama laana kabisa uzao wake usije kuolewa na mwanaume aliye na watoto na mke au mke plus jinsi my friend alivyoona maisha aliyoishi bibi yake na wale watoto aliochukua kuwalea,they always disrepected her hadi utu uzima she never wants a man's kids kuja kuishi nae..naelewa sio kosa la watoto ila pia kids can be a challenge.nalea wangu na i know.
 
Capt Nemo

please tell me why mtu akiweka msimamo hataki mtu mwenye mtoto tayari ni vibaya

kwanini tumpangie mtu vigezo vyake vya kuchagua mwenza?
kama watu wanataka wenza weupe,wenye miguu mizuri,big a@@ etc na ni vigezo ambavyo ni vya kuzaliwa navyo na tunaacept why not kigezo ambacho most times kipo within our capabilities?

Mimi nadhani we need to respect ones decision na jinsi anataka kuishi as long as hamuumizi mtu
huwezi jua huyu dada aliwahi kupitia vitu gani utotoni ambavyo vimemuinfluence kuwa alivyo leo
for example:
i have a friend,her grandmother aliolewa na mume wa mtu and huyo bibi alitoa kama laana kabisa uzao wake usije kuolewa na mwanaume aliye na watoto na mke au mke plus jinsi my friend alivyoona maisha aliyoishi bibi yake na wale watoto aliochukua kuwalea,they always disrepected her hadi utu uzima she never wants a man's kids kuja kuishi nae..naelewa sio kosa la watoto ila pia kids can be a challenge.nalea wangu na i know.

Dear Tracy,

Its true we have to respect a person's decision kwa sababu ana reasons zake...na the way a personchooses to live, thats ok.

But you will agree with me that we are living in a world that is ever changing, and what happened yesterday has very few chances of happening tomorrow.

Kwa mfano uliotoa its further proof kwamba watu huwa tunapenda kujudge kwa kitu kilichotokea kwa watu wengine..na we generalize people..one of the biggest mistake in life...Giod created us differently and put in us different traits..so we act differently though under the same mazingira.

Nimesema ni vibaya kudhani sio vyema kuolewa/kuoa mtu ambaye tayari ana mtoto kwa sababu hapo msukumo unakuwa prejudice na sio real facts. You can agree with me kwamba inatokea mara nyingi tu watoto wawili wa familia moja wanakua katika mazingira magumu sana mmoja anaturn out jambazi la kutupwa na mwingine anakuwa a very respectable and responsible person.

Na kigezo kingine ni "do unto others..." theory...in all honesty kuna mwanamke anayeweza kukaa akasema "its alright kwa kakangu kukosa mke..kwa sababu alipata mtoto kabla hajaoa?"

we, almost all, engange in pre-marital sex..na sidhani kama kuna mtu ambaye at one time hajawahi kufanya mapenzi bila kinga...calenders do fail and condoms do burst, vidonge, vijiti nk are all human production...which can not guarantee 100% pregnancy protection..sasa suppose mtoa mada angepata ujauzito kwa "bahati mbaya" would she tell the guy proposing marriage to her kwamba "no, I cant marry you, see I have a kid already?

Lastly I beg you to agree with me that we can choose the way we wish to live, we can have prejudice all we want but there are some universal truth which every sensible person will agree to:


I may choose to be a drug abuser..hurting no one..but that can not deter a person from telling me drugs arent good..agreeing with him will be my choice of course
 
Hata mimi hapo ndio nimeona maruerue
mtu anakutishia kukuacha kwa makosa yake?????
it reminds of my friend,yeye alikua jamaa akikosea naulizwa "sasa kama unaona nina kosa sana unakaa na mimi ya nini,si uondoke???
hizi ni dharau za hali ya juu

Tatizo sio mtoto ila uongo wa huyo kaka
mtu unapoanza uhusiano na mtu usidanganye vitu ambavyo ni vya msingi e.g umri,watoto,income(sio bank statements)
we tend to give illusions to people we want to be with na they fall inlove with the illussions and not the real person and we expect them to suck it up wakishatujua na maisha kuendelea..once trust is broken it takes a century to rebuild it and at times a century is not enough.


How very true!!!! you said it all
 
Proverbs/ mithali 3:5
Mtumaini bwana kwa moyo wako wote, wala usitegemee akili zako mwenyewe.

My best bible quote tangu Sunday school I live by it...and it does miracles in my life. Asante
 
my dear unanihukumu bure...wala sijasema nachukia huyo mtoto.Ila unapokua muwazi kwa mwenzanko af ye akakuficha inauma esp.ukizingatia huyo mtoto kazaliwa ndani ya mahusiano yetu.Kama mtu anaficha hili nadhani nexttym ataficha kinda zaidi ya hili

Nilitaka niendelee kusoma ila nilipofika hapo (bold) nadhani na jibu mwenyewe umelipata!


Kudadadeki mapenzi hayashauriki....
 
Mwite muongee mbele ya wazazi yaishe, ukimuacha mwanaume huyo, mwengine utayempata atakuws na kasoro gani.
 
Alizaa kabla yako au baada yako? Unaishi nae nyumba moja au mna ukaribu yaan kukutana mara kwa mara?
My capture ....kuzaa sio tatizo but kutokuwa mkwel ndio tatizo though it depends sometimes inawezekana alidanganya kulinda penzi lenu au kukuepusha na bp na mengine

Pili unaonekana hauko serious nae au hujui tofaut ya urafik na ndoa ulijisahau ukahis bado mtakuwa marafik na kusahau ndoa inataka follow up ya maana as long mnajua wanawake muwengi
Ushauri wangu

Tatu we unaonekana unajua kutenda miujiza...how come you let your parents know your privacy before you? Kuna mengine siri za ndan hata wakijua haina faida kwao hayo ufe nayo wewe sio wao

Ushauri wangu....if you love him na uwe na uhakika kama nae anakupenda unless otherwise atakudanganya

Talk to him ajue unajua then mjue what next
Pili jifunze kujua what marriage wants especially for girls
Tatu jifunze kuwa na privacy sana sana kwa ndugu kwani wao hawajui thaman ya moyo wako zaid yako

I hope you are a lady, many of them know to express what they feel. Good words anyway
 
ila mimi nakulaumu, ulitegemea jamaa angekua anapozea wapi kipindi chote hicho?, its your fault lady.
NDO HAPO sasa namimi sijamwelewa, nimepitia post nikaona labda ni mimi tu kumbe tuko pamoja!
 
Dear Tracy,

Its true we have to respect a person's decision kwa sababu ana reasons zake...na the way a personchooses to live, thats ok.

But you will agree with me that we are living in a world that is ever changing, and what happened yesterday has very few chances of happening tomorrow.

Kwa mfano uliotoa its further proof kwamba watu huwa tunapenda kujudge kwa kitu kilichotokea kwa watu wengine..na we generalize people..one of the biggest mistake in life...Giod created us differently and put in us different traits..so we act differently though under the same mazingira.

Nimesema ni vibaya kudhani sio vyema kuolewa/kuoa mtu ambaye tayari ana mtoto kwa sababu hapo msukumo unakuwa prejudice na sio real facts. You can agree with me kwamba inatokea mara nyingi tu watoto wawili wa familia moja wanakua katika mazingira magumu sana mmoja anaturn out jambazi la kutupwa na mwingine anakuwa a very respectable and responsible person.

Na kigezo kingine ni "do unto others..." theory...in all honesty kuna mwanamke anayeweza kukaa akasema "its alright kwa kakangu kukosa mke..kwa sababu alipata mtoto kabla hajaoa?"

we, almost all, engange in pre-marital sex..na sidhani kama kuna mtu ambaye at one time hajawahi kufanya mapenzi bila kinga...calenders do fail and condoms do burst, vidonge, vijiti nk are all human production...which can not guarantee 100% pregnancy protection..sasa suppose mtoa mada angepata ujauzito kwa "bahati mbaya" would she tell the guy proposing marriage to her kwamba "no, I cant marry you, see I have a kid already?

Lastly I beg you to agree with me that we can choose the way we wish to live, we can have prejudice all we want but there are some universal truth which every sensible person will agree to:


I may choose to be a drug abuser..hurting no one..but that can not deter a person from telling me drugs arent good..agreeing with him will be my choice of course






I agree capt
ila swala la do unto others inategemea pia mazingira as i said earlier,upo ulivyo kutokana na vitu ulivyopitia na swala la passing judgement nadhani kwa hili swala haliapply based on the fact that huwezi kumforce mtu kuishi vile unavyoona nin sawa(thats in fact judgment already)

mambo mtu anayopitia katika maisha ni yeye tu mwenye uwezo wa kujua jinsi jambo limeaafect maisha yake na setting standards ni jambo la kawaida kwa binadamu yeyote na tupo tofauti(thats my point) we should just let people be themselves.unaweza kumwambia mtu alegeze maamuzi yake na mwisho wa siku effect anaipata yeye na your point of view kwenye hiyo effect ni tofauti na yake

Ni kwa mfano: a person anapenda kuwa na binti mweupe na kwenye factors zake hiyo ni priority then aoe mweusi and start sleeping arount na weupe i(ceteris puribus)t just doesnt make sense wakati alikuwa na uwezo wa kupata mweupe na kutulia.
Swala la mimba nimesema most times sio all besty

we are different ,we think differently,we experience different areas of life differently..lets accept the differences as long as no one gets hurt in the end (Kwenye madawa people do ge hurt).

capt nemo kuna relationship list criteria mtu anaeza kukuletea and in your point of view utaona ni unreasonable kabisaa but kwake ni priority.kuna mtu asiyefloss haezi kudate nae hata kidogo,kuna mtu binti asiyejua kupika,mwanaume asiyejua kuvaa etc ila at the end kwa views za wengine ni vya kijinga but to the person ni muhimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom