Hili jambo liko sawa?

Hili jambo liko sawa?

Superb2014

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
10,486
Reaction score
8,834
Kuna Kampuni Moja ya Mtu Binafsi, ni Kampuni kubwa sana kwa bahati mbaya Mwenye Kampuni alifariki, kipindi cha uhai wa mwenye Kampuni kama wafanyakazi na wageni walikuwa wakipatiwa bure Kahawa, Maji, Chai, Soda na vitu vidogovidogo vya Jikoni vilikuwepo ni Kampuni ilikuwa inatoa Hela hivyo vitu vinanunuliwa.

Kwasasa hivi Kampuni inasimamiwa na Mke wa Marehemu, anabana matumizi anataka Wafanyakazi watoe Hela zao wanunue vile vitu ambavyo vilikuwa vinanunuliwa na Kampuni, Je hili liko sawa?
 
Kama kwenye mkataba wenu kuna kifungu kinasema mtapewa bure maji kahawa na kashata mna haki kama wafanyakazi kulalamika ila kama hakipo hiko kifungu busara kaeni kimya tu.
Tatizo ni kwambwa Wafanyakazi wanadai wanatakiwa kutoa Pesa zao binafsi kununua hivyo vitu ili hata Wageni wakija wapatiwe.
 
Kama kwenye mkataba wenu kuna kifungu kinasema mtapewa bure maji kahawa na kashata mna haki kama wafanyakazi kulalamika ila kama hakipo hiko kifungu busara kaeni kimya tu.
Ukiona uko kazini kuna vitu unapewa na haviko kwenye mkataba wako ujue uongozi ukibadili kuna hivyo vitu kutovipata kabisa
 
Kwasasa hivi Kampuni inasimamiwa na Mke wa Marehemu, anabana matumizi anataka Wafanyakazi watoe Hela zao wanunue vile vitu ambavyo vilikuwa vinanunuliwa na Kampuni, Je hili liko sawa?
Ataua kampuni hajui kwanini mumewe alikua anafanya hivyo shida ni ramani kitu ambacho hujakianzisha hujui jinsi ya kukiendeleza matatizo ndio hayo kaja na mfumo mpya
 
Kuna Kampuni Moja ya Mtu Binafsi, ni Kampuni kubwa sana kwa bahati mbaya Mwenye Kampuni alifariki, kipindi cha uhai wa mwenye Kampuni kama wafanyakazi na wageni walikuwa wakipatiwa bure Kahawa, Maji, Chai, Soda na vitu vidogovidogo vya Jikoni vilikuwepo ni Kampuni ilikuwa inatoa Hela hivyo vitu vinanunuliwa.

Kwasasa hivi Kampuni inasimamiwa na Mke wa Marehemu, anabana matumizi anataka Wafanyakazi watoe Hela zao wanunue vile vitu ambavyo vilikuwa vinanunuliwa na Kampuni, Je hili liko sawa?
Mshahara wako unapewa kwa wakati?
 
Ishi kwa ujira wako mkuu, hiyo ya ziada ilikuwa hisani tu. It's not your right to demand
Tatizo ni kwambwa Wafanyakazi wanadai wanatakiwa kutoa Pesa zao binafsi kununua hivyo vitu ili hata Wageni wakija wapatiwe.
 
Back
Top Bottom