Natamani Kujiua

Hizi swaga ni za kilevi usituchore wewe
 
Kila mtu ana njia yake yake ya kufia,wengine watakufa na ukimwi, ajali, malaria, kuuawa nk.Wewe unaepanga kufia kwa kujiua unaweza ukashindwa kwa sababu Mungu ndie anaepanga tarehe ya mtu kufa.Omba watu wakusaidia kuepukana na matendo yanayoashiria kukuletea matatizo.
 
Ni Kweli Usemacho Kaka, Nimeanza Kunywa Baada ya Kuwa na Kazi, Asante kwa Ushauri
 
Pale unapoona binadamu wote wamekuacha na kukutenga usisahau kuna mungu muumbaji,kumbuka umeanguka wapi mludie yeye naye atakuponya pia muombe msamaha mama yko weka mambo sawa kwa watu wako .naamini utafanikiwa na utarudi kama zamani .
Amina! Ubarikiwe Sana
 
Yani natamani ningekuwa karibu nikuchape vibao acha upuuzi,mtoto wa kiume usirudie kusema upuuzi huu tena,Kuwa na moyo mgumu kama chuma cha pua.
Hope in the face of uncertainty!
Asante, Nitajitahidi
 
Pole sana. Kujiuwa sio suluhisho la maisha yako. Tubu kwa mola wako. Jiepushe na mambo ya kishetani kama kulewa na kutia malaya. Utafanikiwa tu
 
Hili nalo la kuomba Ushauri..'!???? Sasa unajua unapokosea unataka ushauri wa nin...!??? Rekebisha makosa yako songaa mbelee mzee...
 
Unategemea kujiua lini? Huu ni msiba wa kujitakia eti pombe na ngono! Shukuru Mungu una hela za kulewa na za kununulia malaya.
 
Kiutaalam mtu akishakua na suicidal thoughts ni vyema kukaa nae karibu sana
 
Halafu wazazi bana aliyesema ni miungu ya pili duniani nadhani hawakukosea, mi nkizinguanaga na washua home hata kidogo tu, aisee nakosa amani kabisa hadi nikae nao tufanye resolution. Go n talk to your moms
 
Umri wako bado, ukikua utaacha huo ujinga...

Ngoja uianze 30+ na akili itatulia utakua huna stress...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…