Tunaposema tuwe makini siyo kwamba ni ujinga. WHO imeruhusu chanjo zaidi ya 24 kwa ugonjwa mmoja tu.Hii maana yake chanjo bado ziko kwenye utafiti na zimetolewa kwa hati ya dharula (soma masharti). Na kama zimeshakuwa fully approved maana yake ni kuwa zinazidiana ubora au uwezo ni sawa na dawa tunazotumia kujitibu magonjwa ya kawaida kulingana na uelewa wa mtoa huduma na hali ya ugonjwa, anaweza kukuandikia dawa tofauti tofauti.
Kuna tofauti kubwa kati ya dawa na chanjo. Kwanza dawa ina half life na kazi yake ni kupambana na ugonjwa kisha end products ya dawa inatolewa mwilini kwa njia ya mkojo.asilimia kubwa ya dawa inakaa mwilini si zaidi ya masaa 24.
Chanjo kazi yake ni kuuambia mwili utengeneze kinga (antibodies) ambayo itakaa mwiki kwa miezi au miaka mingi sana ikipambana na ujio wa ugonjwa maalum. Ndiyo maana chanjo inapatikana baada ya miaka mingi kwa sababu madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa miaka mingi ya badae.kwa mfano unaweza kukuta madhara kwa kinamama mimba kuharibika, kuzaa watoto wenye ulemavu, watoto kufia matumboni, etc.
Watalaam wanaelewa kuwa kuna kitu kinaitwa drug interaction ambapo unakuta dawa mbili zikikutana mwilini zinafanya kazi kwa pamoja au kwa kushindana na kuleta madhara makubwa mwilini. Nimeona humu JamiiForums kuwa wenzetu kule Zanzibar wameambiwa kuwa chanjo waliyochanja haitambuliki huko wanakokwenda kuhiji. Hivyo kama wanataka kwenda Makka wachanje chanjo nyengine. Nawashauri wasifanye hivyo labda kama watakuwa wamejiridhisha kuwa hakuna drug interaction. Lakini watajuaje?
Swali kwa WHO, ni kuwa kwanini wameruhusu matumizi ya chanjo zaidi ya 24 kwa ugonjwa mmoja bila kutoa maelezo zaidi namna ya utumiaji wa chanjo hizo? Kwa sababu kila nchi imeamua yenyewe kutumia chanjo inayoona inafaa, lakini wananchi wake kwa uelewa mdogo wanaweza kujipatia chanjo zaidi ya aina moja na kuleta madhara makubwa kwa afya zao
Swali la pili, wanitajie ugonjwa gani ambao watu wametumia chanjo zaidi ya aina moja kujikinga na ugonjwa huo?
Tatu, WHO inafahamu kuwa chanjo za Covid-19 zimetolewa kwa hati ya dharura, ni kwa nini wameachia wanasiasa kuzungumzia chanjo ya Covid-19 wakati siyo watalaam. Chukulia mfano yule mbunge wa kigoma ambaye nimemuona akimshupalia Askofu Gwajima kuwa ati amefanya kitu cha kutaka kuipindua serikali wakati hana uelewa wa chanjo?
WHO Ina wawakilishi humu nchini. Naomba mnijibu otherwise najiandaa kuwapeleka Mahakama ya kimataifa yamakosa ya jinai
Kuna tofauti kubwa kati ya dawa na chanjo. Kwanza dawa ina half life na kazi yake ni kupambana na ugonjwa kisha end products ya dawa inatolewa mwilini kwa njia ya mkojo.asilimia kubwa ya dawa inakaa mwilini si zaidi ya masaa 24.
Chanjo kazi yake ni kuuambia mwili utengeneze kinga (antibodies) ambayo itakaa mwiki kwa miezi au miaka mingi sana ikipambana na ujio wa ugonjwa maalum. Ndiyo maana chanjo inapatikana baada ya miaka mingi kwa sababu madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa miaka mingi ya badae.kwa mfano unaweza kukuta madhara kwa kinamama mimba kuharibika, kuzaa watoto wenye ulemavu, watoto kufia matumboni, etc.
Watalaam wanaelewa kuwa kuna kitu kinaitwa drug interaction ambapo unakuta dawa mbili zikikutana mwilini zinafanya kazi kwa pamoja au kwa kushindana na kuleta madhara makubwa mwilini. Nimeona humu JamiiForums kuwa wenzetu kule Zanzibar wameambiwa kuwa chanjo waliyochanja haitambuliki huko wanakokwenda kuhiji. Hivyo kama wanataka kwenda Makka wachanje chanjo nyengine. Nawashauri wasifanye hivyo labda kama watakuwa wamejiridhisha kuwa hakuna drug interaction. Lakini watajuaje?
Swali kwa WHO, ni kuwa kwanini wameruhusu matumizi ya chanjo zaidi ya 24 kwa ugonjwa mmoja bila kutoa maelezo zaidi namna ya utumiaji wa chanjo hizo? Kwa sababu kila nchi imeamua yenyewe kutumia chanjo inayoona inafaa, lakini wananchi wake kwa uelewa mdogo wanaweza kujipatia chanjo zaidi ya aina moja na kuleta madhara makubwa kwa afya zao
Swali la pili, wanitajie ugonjwa gani ambao watu wametumia chanjo zaidi ya aina moja kujikinga na ugonjwa huo?
Tatu, WHO inafahamu kuwa chanjo za Covid-19 zimetolewa kwa hati ya dharura, ni kwa nini wameachia wanasiasa kuzungumzia chanjo ya Covid-19 wakati siyo watalaam. Chukulia mfano yule mbunge wa kigoma ambaye nimemuona akimshupalia Askofu Gwajima kuwa ati amefanya kitu cha kutaka kuipindua serikali wakati hana uelewa wa chanjo?
WHO Ina wawakilishi humu nchini. Naomba mnijibu otherwise najiandaa kuwapeleka Mahakama ya kimataifa yamakosa ya jinai