Natamani kudate na mzungu

Natamani kudate na mzungu

Ni pm nikupe chimbo la kwenda kujiuza, na au Muulize dada wa taifa alimpataje wake.
 
New experience. Wanaonekana wapo more romantic. Yani hivyo, kitu kipya and mapenzi ya wabongo ni yale yale nothing new

Umeyajuaje hayo mapenzi ya wabongo na wakati bado unasubiria mpaka ndoa! Utamu wa ngoma, ingia ucheze.
 
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]
simple nenda maeneno waliyopo kama hapa dar mitaa fulani fulani n usiwe muoga na tabia za kiswahili kama kukaa kimya mtu anakutext au kujiafanya kila kitu mapaka uambiwe kama mademu wa kibongo na usiwe muongo wala na tabia za kibongo za mtu kila siku yeye ndo aambiwe watoke out bila kuambiwa yeye hawezi sema na kuomba hela hovyo mtu hamjazoeana tayari naomba hela ta rent
 
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]
Umejiandaa kwa yote?
Maana wazungu wengi, wameshafanya mambo mengi sana katika mapenzi, so wana fantansy za kitofauti sana na oia wanapenda mambo tofauti... Jiandae kwa hayo ili usiwe suprised sana.
Pia, inabidi uanze ku hang out sehemu ambazo kuna uwezekano wa kukutana na wazungu.... Sio maeneo ya uswahili, manzese, unaenda baa za uswazi na maeneo ya kawaida. Ujipange uwe una hang out maeneo ya hoteli za Kimataifa kama Kempinski, Holiday Inn, Serena Hotel... Pia ujibane upange nyumba maeneo ya Osterbay, Mikocheni, Masaki, Msasani...
All the best in your endevours!!
Anfibix
 
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]
ZERUZERU nipo hapa kama shida yako ni ngozi nyeupe. Usijali hatuwezi shindwana.
 
Actually mume wangu ni mzungu na nilimpata humuhumu.
 
New experience. Wanaonekana wapo more romantic. Yani hivyo, kitu kipya and mapenzi ya wabongo ni yale yale nothing new
Umeshajaribu wabongo wangapi ukaona hawako romantic?angalia isijekuwa wewe ndio unafanya makosa ya kufanya wrong selection...!
 
Back
Top Bottom