Natamani kudate na mzungu

Natamani kudate na mzungu

Sio kila mwanamke anapenda matango, kwani ni vitaa. I love making love, romantic kinda love. Sio kugongana km mche na kinu. Afu wanaume wengi wanadhani kilamwanamke anapenda maumbile makubwa, hapana haipo hvyo.
Hawana mashine wale wengi wana vipisi tu,nakushauri bora upambane na weusi wenzako kwa sababu wana matango ya kutosha.
 
Sio kila mwanamke anapenda matango, kwani ni vitaa. I love making love, romantic kinda love. Sio kugongana km mche na kinu. Afu wanaume wengi wanadhani kilamwanamke anapenda maumbile makubwa, hapana haipo hvyo.
ha ha ha ha,unafikiri kwa nini ndoa huwa zinakuja kusumbua huko mbeleni?
 
Hiyo sio sababu. Mwengne ana maumbile makubwa bt kuyatumia hawezi. And kumbuka wanawake pia tumetofautiana maumbile, so kila mtu anapambana na size yake, [emoji1787]
ha ha ha ha njoo hapa kwa mzungu
 
Ujue na nchi wanazotoka hao wazungu wakutamani sio wote vinginevo utaingia kwenye unga utakua mteja.
 
Siku demu wangu wa ki Austria aliniponiambia " you know what my love, once i discover that you cheat on me, I'll shoot you before i leave this country, just don't try it please." Nilihama mkoa kimya kimya na nikabadili mawasiliano, nitaachaje kuchepuka wakati pochi zao za baridi ? Hata hivyo mwanaume wa kiswaa kuchepuka hakuepukiki....
 
Nenda kwenye nightclub zao utawapata tu.
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]
 
Nenda kwenye nightclub zao utawapata tu.
Nakumbuka miaka ya 2005 nilikuwa napenda sana kwenda club kwa pale moshi;nakutana na watoto wa kizungu nacheza nao hapa na pale,changamoto ninamna ya kuondoka na mmoja,unakuta wako kikundi.
 
Nenda kawadange pale George and Dragon Masaki au Triniti....ila ujiandae kwa lolote maana uko desperate...
 
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]
Acha dharau wew unayo new...unauwezo gan mpaka utake kuruka njee...
 
Nakumbuka miaka ya 2005 nilikuwa napenda sana kwenda club kwa pale moshi;nakutana na watoto wa kizungu nacheza nao hapa na pale,changamoto ninamna ya kuondoka na mmoja,unakuta wako kikundi.
Hahhaaaa ungejitoa ufahamu tu unamwambia akusindikize nje mkitoka unamwaga sera bila kupepesa macho yaani unavaa miwani ya mbao
 
Back
Top Bottom