Natamani kudate na mzungu

Natamani kudate na mzungu

""Kama huyu""
FB_IMG_1569586017828.jpeg
 
Da Anfibix ukimpata ... Kama ana ndugu zake wa kike usinisahau.. Nami huwa nawatafuta.. Kweli wazungu wakike..
 
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]

Dada kama unataka wazungu jiandae na haya:-

Kwanza jiandae kupoteza Marinda kama bado yapo, Wazungu hawanaga mipaka.
Halafu wazungu huo wizi wa sijui mpaka tukioana hawanunui, mukielewana hata siku hiyohiyo munaanza kugegedana
Hao wataliana uliokua huwataki ndio wazungu wanaolipa kuliko wote, mana ndio wanaopenda ngozi nyeusi. ILa ndio hivo ni hatari zaidi kwenye Umber Ruth

Ukishayakubali hayo basi Jivute Zenji maeneo ya mashamba au hata Stone Town kule wapo kibao wenzio kibao washatisua maisha na kupata hiyo Romantic onayotaka lakini marinda yakiwa yashapotea
 
Sio kila mwanamke anapenda matango, kwani ni vitaa. I love making love, romantic kinda love. Sio kugongana km mche na kinu. Afu wanaume wengi wanadhani kilamwanamke anapenda maumbile makubwa, hapana haipo hvyo.
Majority are uncircumcised.[emoji16]
 
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]

Wazungu vijana hawadate na wadada wa kibongo..apo utapata mzee..pa kuwapatia nenda hoteli zinazosave italian food..ukibahatisha kijana jua umepata player anakukula na kibamia chake then unakula kibuti..
 
Back
Top Bottom