Natamani kudate na mzungu

Natamani kudate na mzungu

Anfibix

Senior Member
Joined
Dec 1, 2018
Posts
190
Reaction score
308
Jamanie naombeni msinihukumu but hii ni wish yangu kutoka moyoni. Natamani kuwa na mwanaume wa kizungu. Wadada wenzangu yeyote ambae ashawahi kudate na mzungu naombeni mbinu, pa kuwapata na lifestyle itakayo wa attract. Je sifa zao nzuri ni zipi na mbaya ni zipi. Naombeni tuzungumze [emoji1787]
 
Wazungu wanapenda sana Manyonyo Makubwa, Wezere Kubwa na kuwa realistic.

Usiwe mswahili. Kuwa straight. Siku akikutongoza akataka mzigo, achana na mambo ya Uswahili kuwa ooh subiria kwanza tujuane. Be straight. Be faithful.

NOTE: Mimi siyo mdada, nimekupa hints tu.
 
Asante sanaa
Wazungu wanapenda sana Manyonyo Makubwa, Wezere Kubwa na kuwa realistic.

Usiwe mswahili. Kuwa straight. Siku akikutongoza akataka mzigo, achana na mambo ya Uswahili kuwa ooh subiria kwanza tujuane. Be straight. Be faithful.

NOTE: Mimi siyo mdada, nimekupa hints tu.
 
New experience. Wanaonekana wapo more romantic. Yani hivyo, kitu kipya and mapenzi ya wabongo ni yale yale nothing new
okay mami Anfibix kama ishu ndo hiyo basi usimtafute mzungu rangi tafuta mzungu tabia

coz kuna wenye Ngozi nyeusi ambao ni wazungu ndani yao wapo amini usiamini

achana na hao wazungu rangi wanaweza kukufundisha hata mambo ambayo hayafundishiki(if you know what i mean) maana mambo mengi ya kiupuuzi yanaanziaga kwao,so kitu cha ajabu kwetu kinaweza kuwa cha kawida kabisa kwao
jitulize tu tafuta taratibu na pole pole umpate mzungu tabia,ukipata mzungu rangi na anavyo unavyotaka sio mbaya pia mkayajenga ufullfill desires zako

all the best mami
 
Thanks dear. Ushauri mzuri na wa kistaarabu. Be blessed
okay mami Anfibix kama ishu ndo hiyo basi usimtafute mzungu rangi tafuta mzungu tabia

coz kuna wenye Ngozi nyeusi ambao ni wazungu ndani yao wapo amini usiamini

achana na hao wazungu rangi wanaweza kukufundisha hata mambo ambayo hayafundishiki(if you know what i mean) maana mambo mengi ya kiupuuzi yanaanziaga kwao,so kitu cha ajabu kwetu kinaweza kuwa cha kawida kabisa kwao
jitulize tu tafuta taratibu na pole pole umpate mzungu tabia,ukipata mzungu rangi na anavyo unavyotaka sio mbaya pia mkayajenga ufullfill desires zako

all the best mami
 
Back
Top Bottom