Ni mara kaadha nimekua nikiskia baadhi ya shuhuda kwa baadhi ya wanandoa walionza kupambana na maisha wakiwa hawana kitu au walionza from zero mpaka wakawa na vibiashara na miradi kadhaa.
Leo hi kila nikipiga hesabu na mimi natamani kuanza maisha ila wa kuanza naye sina. Kipato changu kwa mwezi ni 300,000. Elimu ni Shahada (Bachelor), jinsia Me, Umri 28.
Leo hi kila nikipiga hesabu na mimi natamani kuanza maisha ila wa kuanza naye sina. Kipato changu kwa mwezi ni 300,000. Elimu ni Shahada (Bachelor), jinsia Me, Umri 28.