- Thread starter
- #41
Kwa kua imendikwa Mungu akamfanyia Adamu msadizi ni vizuri kutimiza sawa na mandikoKwanini usipambane peke yako mpaka uji attach kwa mwingine?
Kwa kua imendikwa Mungu akamfanyia Adamu msadizi ni vizuri kutimiza sawa na mandikoKwanini usipambane peke yako mpaka uji attach kwa mwingine?
Mzee kula chakula shiba vizuri kisha uone km wazo hilo bado unalo au nja tuNi mara kaadha nimekua nikiskia baadhi ya shuhuda kwa baadhi ya wanandoa walionza kupambana na maisha wakiwa hawana kitu au walionza from zero mpaka wakawa na vibiashara na miradi kadhaa.
Leo hi kila nikipiga hesabu na mimi natamani kuanza maisha ila wa kuanza naye sina. Kipato changu kwa mwezi ni 300,000. Elimu ni Shahada (Bachelor), jinsia Me, Umri 28.
Umekomaa naye juu ya kipato hadi kielewekeHiyo 300K ni take home?
Kuna nafasi kampuni ya mkorea kutengeneza vifaa vya ujenzi graduate unalipwa kuanzia 750,000.
Akikwambia hizo nafasi usisahau kunistua mkuu...Kampuni gani mkuu tuje kuomba kazi mana hizi bakora za mtaa sio poa.
Ni mara kaadha nimekua nikiskia baadhi ya shuhuda kwa baadhi ya wanandoa walionza kupambana na maisha wakiwa hawana kitu au walionza from zero mpaka wakawa na vibiashara na miradi kadhaa.
Leo hi kila nikipiga hesabu na mimi natamani kuanza maisha ila wa kuanza naye sina. Kipato changu kwa mwezi ni 300,000. Elimu ni Shahada (Bachelor), jinsia Me, Umri 28.
HRBachelor ya nini mkuu unalipwa 300,000?
maisha ya saiv ukiwa na hizo salary ujue huwezi kuendelea labda uwe mwizii.........
kuna watu wana bachela zao na hawana iyo 300kkipato cha 300k degree!...unafanya kazi gani mkuu???
mkuu humu waigizaji wa maisha wapo wengi sana wanabeza iyo 300k ila kiuhalisia hawaingizi hela kama iyo kwa mweziWalio wengi watabeza 300k, ila bora kitu kuliko kukosa kitu.
Kweli mkuu nakubalina na wewemkuu humu waigizaji wa maisha wapo wengi sana wanabeza iyo 300k ila kiuhalisia hawaingizi hela kama iyo kwa mwezi
Ni kweli mkuu, japo maisha ya uongo uongooo mwisho wake huwa sio mzuri.mkuu humu waigizaji wa maisha wapo wengi sana wanabeza iyo 300k ila kiuhalisia hawaingizi hela kama iyo kwa mwezi
Iko wapi hiyo MKUU NIKOMAE nayo MkuuKuna nafasi kampuni ya mkorea kutengeneza vifaa vya ujenzi graduate unalipwa kuanzia 750,000.
Anza na MunguAdministrative officer kampuni binafsi