Natamani Israel apigwe hadi amrudie Mungu wake aliye hai JEHOVAH

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
1,939
4,117
Sijui itatokea lini, ila mimi natamani sana wayahudi wachapwe kichapo kitakatifu hadi wamtii Mungu wao aliyewatoa Misiri utumwani kwa ishara za ajabu yaani (JEHOVAH)

Ichi ambayo imekuwa na ukaribu na Mungu tangu kipindi cha Ibrahimu,

Ichi ambayo kipindi cha Musa, Mungu alifanya maajabu mengi kupitia mkono wa Musa na ili kwamba mataifa na dunia ijue kuwa kuna Mungu mwenye nguvu na si miungu...!

Haikutosha tu wayahudi kutolewa Misiri kuja kwenye nchi yao ya ahadi Kanaani, bali pia Mungu kwa kuona mbaali zaidi alimwambia Musa andike yote matendo makuu kwenye kitabu cha kumbukumbu na ili kizazi na kizazi kije kijifunze katika hayo!

Ajabu taifa hilo ndilo linabariki ushoga na kuwa ndiyo sehemu ya utamaduni wa kile ambacho Mungu aliwaonya wasijihusishe na uchafu wa aina yoyote kwenye nchi yao

Hivi, tunaposema tuwaombee hawa ambao wamekuwa waasi kwa Mungu, tunakuwa tunatumia kitabu kipi kinachoruhusu ujinga huo?

Hatuwezi kuishia tu kwamba, eti ndiyo hivyo tena Mungu alishawachagua na ndiye anayejua! Inabidi twende mbaali zaidi na kujikumbusha pia katika safari yao ya kuja Kanaani Mungu huyo huyo aliyewafunikiza kwenye aridhi baada ya kujichongea ndama kama sanamu kuifanya ndio mungu wao, ndiye huyo huyo anayechukizwa na uchafu wowote kwa wateule wake, pia ni huyo huyo aliyemgomea Musa kufika Kanaani baada ya Musa kutenda dhambi na licha kwamba Mungu alimhakikishia Musa ndiye atakayewafikisha Wana wa Yakobo kule Kanaani! Na ndiye huyu huyu ambaye hawezi kukubali ushoga wa taifa hilo, na sala zetu juu yao ni makelele mtupu masikioni mwa Mungu!

Ndugu zanguni Wakristo, Mungu aliagana tena na wanadamu kupitia Yesu na ambaye katika huyo, Dunia yote inapata masamaha ya dhambi na baraka zisizo na tofauti na kuondoa habari za hili eti ni taifa teule

Taifa Teule ni wewe uliyempokea Yesu na kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako, na kwa bahati mbaya, Wayahudi walimkataa huyu Yesu na wakaendelea kubakia na imani yao na hawana agano jipya mpaka sasa

Licha ya hivyo, Taifa hilo ambalo ndani yake ndio chanzo cha wokovu kwa Dunia yote, hata imani yao ya kulitunza agano la kale la Mungu limeshinda, sasa utaona mambo ambayo ni machukizo makubwa mbele ya Mungu wanayafanya

Wanajeshi wako vitani huku wakifunga ndoa za jinsia moja, je kunasababu yoyote kwa Mungu kuzuia kichapo kwa nchi ya aina hiyo?
 
Dini ukiitafakari sana UTACHANGANYIKIWA.

Yangu ni hayo tu!

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Mungu wa Abraham aliweka agano na Abraham. kwa hiyo Mungu ataendelea kuliheshimu hilo agano lake. Wanaweza wakapigwa kweli lakini Mungu atawakumbuka tu. Wale siyo wenzetu.
 
Wewe ni Mungu?Mungu ameahidi katika maandiko matakafifu kuwa Israel will never be defeated.wewe unataka wapigwe.
Mungu yule yule aliyewaadhibu baada ya wao kutengeneza ndama ili waifanye kuwa mungu wao ndiye huyo huyo atakayewaadhibu baada ya kuwa taifa la kishoga!
 
Mungu wa Abraham aliweka agano na Abraham. kwa hiyo Mungu ataendelea kuliheshimu hilo agano lake. Wanaweza wakapigwa kweli lakini Mungu atawakumbuka tu. Wale siyo wenzetu.
Mkuu, agano la Mungu kwa watu wote ni hili la Yesu Krsto na ndilo la mwisho na wayahudi wanapaswa kulifuata

Na ndiyo maana maombi yooye yanahitimishwa kupitia jina la Yesu na sio tena Mungu wa Yakobo

Mungu amekuwa Mungu wa wote wanaompokea Yesu Kristo tu

Wayahudi hata hivyo walimkataa
 
Mkuu, agano la Mungu kwa watu wote ni hili la Yesu Krsto na ndilo la mwisho na wayahudi wanapaswa kulifuata

Na ndiyo maana maombi yooye yanahitimishwa kupitia jina la Yesu na sio tena Mungu wa Yakobo

Mungu amekuwa Mungu wa wote wanaompokea Yesu Kristo tu

Wayahudi hata hivyo walimkataa
Ninakubaliana na wewe lakini maandiko yanasema tumepandikizwa tu wao bado shina lao liko imara halijakatwa kutokana na ahadi aliyopewa Abrahamu. Angalia hapa chini.

"Lakini kama baadhi ya matawi yamekatwa, na ninyi kama mizeituni mwitu mkapandwa katika shina, mkashiriki pamoja na matawi mengine chakula kutoka katika shina la mzeituni, 18 msi jivune mbele ya hayo matawi. Kama mkijisifu mkumbuke kuwa si ninyi mnaoshikilia shina, bali ni shina linalowashikilia ninyi. 19 Pengine mtasema, “Matawi yalikatwa ili nipate nafasi ya kupandikizwa katika shina.” 20 Hii ni kweli. Lakini kumbuka kuwa matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya kutokuamini; na wewe umesimama imara kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijisifu, bali ujinyenyekeze na kuogopa. 21 Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, hatakuacha wewe, atakuondoa. 22 Tafakari basi kuhusu wema na ukali wa Mungu. Yeye ni mkali kwa wale walio anguka, bali amekuonyesha wewe wema wake, kama utadumu katika wema wake. Vinginevyo, na wewe utakatiliwa mbali. 23 Na hata hao Waisraeli, kama wakiacha kudumu katika kutokuamini kwao, atawar udisha kwenye shina, kwa maana Mungu anao uwezo wa kuwarejesha. 24 Ikiwa ninyi mmekatwa kutoka katika mizeituni mwitu, na ki nyume cha asilia mkapandikizwa kwenye mzeituni uliopandwa, ita kuwa ni rahisi kiasi gani matawi haya ya asili kurejeshwa kwenye shina lake?" Warumi 11.
 
Mungu wa Abraham aliweka agano na Abraham. kwa hiyo Mungu ataendelea kuliheshimu hilo agano lake. Wanaweza wakapigwa kweli lakini Mungu atawakumbuka tu. Wale siyo wenzetu.
Utumwa wa kifikra huu,,, shoga wa kizayuni kakuzidi nini mpaka useme wewe sio mwenzio, au yeye anakunya almasi? Acha ubwege wewe!, alafu hao wenzenu wala hawana habari na nyinyi Zaidi ya nyie kuleta shobo kwao, jinga kabisa.
 
Sijui itatokea lini, ila mimi natamani sana wayahudi wachapwe kichapo kitakatifu hadi wamtii Mungu wao aliyewatoa Misiri utumwani kwa ishara za ajabu yaani (JEHOVAH)

Ichi ambayo imekuwa na ukaribu na Mungu tangu kipindi cha Ibrahimu,

Ichi ambayo kipindi cha Musa, Mungu alifanya maajabu mengi kupitia mkono wa Musa na ili kwamba mataifa na dunia ijue kuwa kuna Mungu mwenye nguvu na si miungu...!

Haikutosha tu wayahudi kutolewa Misiri kuja kwenye nchi yao ya ahadi Kanaani, bali pia Mungu kwa kuona mbaali zaidi alimwambia Musa andike yote matendo makuu kwenye kitabu cha kumbukumbu na ili kizazi na kizazi kije kijifunze katika hayo!

Ajabu taifa hilo ndilo linabariki ushoga na kuwa ndiyo sehemu ya utamaduni wa kile ambacho Mungu aliwaonya wasijihusishe na uchafu wa aina yoyote kwenye nchi yao

Hivi, tunaposema tuwaombee hawa ambao wamekuwa waasi kwa Mungu, tunakuwa tunatumia kitabu kipi kinachoruhusu ujinga huo?

Hatuwezi kuishia tu kwamba, eti ndiyo hivyo ni Mungu alishawachagua na ndiye anayejua! Mungu huyo huyo aliyewafunikiza kwenye aridhi baada ya kujichongea ndama kama sanamu kuifanya ndio mungu wao, ndiye huyo huyo anayechukizwa na uchafu wowote kwa wateule wake

Ndugu zanguni Wakristo, Mungu aliagana tena na wanadamu kupitia Yesu na ambaye katika huyo, Dunia yote inapata masamaha ya dhambi na baraka zisizo na tofauti na kuondoa habari za hili eti ni taifa teule

Taifa Teule ni wewe uliyempokea Yesu na kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako, na kwa bahati mbaya, Wayahudi walimkataa huyu Yesu na wakaendelea kubakia na imani yao na hawana agano jipya mpaka sasa

Licha ya hivyo, Taifa hilo ambalo ndani yake ndio chanzo cha wokovu kwa Dunia yote, hata imani yao ya kulitunza agano la kale la Mungu limeshinda, sasa utaona mambo ambayo ni machukizo makubwa mbele ya Mungu wanayafanya

Wanajeshi wako vitani huku wakifunga ndoa za jinsia moja, je kunasababu yoyote kwa Mungu kuzuia kichapo kwa nchi ya aina hiyo?
Ichi kama ichi
 
Sijui itatokea lini, ila mimi natamani sana wayahudi wachapwe kichapo kitakatifu hadi wamtii Mungu wao aliyewatoa Misiri utumwani kwa ishara za ajabu yaani (JEHOVAH)

Ichi ambayo imekuwa na ukaribu na Mungu tangu kipindi cha Ibrahimu,

Ichi ambayo kipindi cha Musa, Mungu alifanya maajabu mengi kupitia mkono wa Musa na ili kwamba mataifa na dunia ijue kuwa kuna Mungu mwenye nguvu na si miungu...!

Haikutosha tu wayahudi kutolewa Misiri kuja kwenye nchi yao ya ahadi Kanaani, bali pia Mungu kwa kuona mbaali zaidi alimwambia Musa andike yote matendo makuu kwenye kitabu cha kumbukumbu na ili kizazi na kizazi kije kijifunze katika hayo!

Ajabu taifa hilo ndilo linabariki ushoga na kuwa ndiyo sehemu ya utamaduni wa kile ambacho Mungu aliwaonya wasijihusishe na uchafu wa aina yoyote kwenye nchi yao

Hivi, tunaposema tuwaombee hawa ambao wamekuwa waasi kwa Mungu, tunakuwa tunatumia kitabu kipi kinachoruhusu ujinga huo?

Hatuwezi kuishia tu kwamba, eti ndiyo hivyo ni Mungu alishawachagua na ndiye anayejua! Mungu huyo huyo aliyewafunikiza kwenye aridhi baada ya kujichongea ndama kama sanamu kuifanya ndio mungu wao, ndiye huyo huyo anayechukizwa na uchafu wowote kwa wateule wake

Ndugu zanguni Wakristo, Mungu aliagana tena na wanadamu kupitia Yesu na ambaye katika huyo, Dunia yote inapata masamaha ya dhambi na baraka zisizo na tofauti na kuondoa habari za hili eti ni taifa teule

Taifa Teule ni wewe uliyempokea Yesu na kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako, na kwa bahati mbaya, Wayahudi walimkataa huyu Yesu na wakaendelea kubakia na imani yao na hawana agano jipya mpaka sasa

Licha ya hivyo, Taifa hilo ambalo ndani yake ndio chanzo cha wokovu kwa Dunia yote, hata imani yao ya kulitunza agano la kale la Mungu limeshinda, sasa utaona mambo ambayo ni machukizo makubwa mbele ya Mungu wanayafanya

Wanajeshi wako vitani huku wakifunga ndoa za jinsia moja, je kunasababu yoyote kwa Mungu kuzuia kichapo kwa nchi ya aina hiyo?
Natamani hizi imani za majahazi mkombolewe toka kwazo.
 
Mkuu, agano la Mungu kwa watu wote ni hili la Yesu Krsto na ndilo la mwisho na wayahudi wanapaswa kulifuata

Na ndiyo maana maombi yooye yanahitimishwa kupitia jina la Yesu na sio tena Mungu wa Yakobo

Mungu amekuwa Mungu wa wote wanaompokea Yesu Kristo tu

Wayahudi hata hivyo walimkataa
Je Mungu hupingana na maneno yake Kwa mujibu wako?

Mwanzo 17
7 Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.

8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.

9 Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.

10 Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.

11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom