Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,939
- 4,117
Sijui itatokea lini, ila mimi natamani sana wayahudi wachapwe kichapo kitakatifu hadi wamtii Mungu wao aliyewatoa Misiri utumwani kwa ishara za ajabu yaani (JEHOVAH)
Ichi ambayo imekuwa na ukaribu na Mungu tangu kipindi cha Ibrahimu,
Ichi ambayo kipindi cha Musa, Mungu alifanya maajabu mengi kupitia mkono wa Musa na ili kwamba mataifa na dunia ijue kuwa kuna Mungu mwenye nguvu na si miungu...!
Haikutosha tu wayahudi kutolewa Misiri kuja kwenye nchi yao ya ahadi Kanaani, bali pia Mungu kwa kuona mbaali zaidi alimwambia Musa andike yote matendo makuu kwenye kitabu cha kumbukumbu na ili kizazi na kizazi kije kijifunze katika hayo!
Ajabu taifa hilo ndilo linabariki ushoga na kuwa ndiyo sehemu ya utamaduni wa kile ambacho Mungu aliwaonya wasijihusishe na uchafu wa aina yoyote kwenye nchi yao
Hivi, tunaposema tuwaombee hawa ambao wamekuwa waasi kwa Mungu, tunakuwa tunatumia kitabu kipi kinachoruhusu ujinga huo?
Hatuwezi kuishia tu kwamba, eti ndiyo hivyo tena Mungu alishawachagua na ndiye anayejua! Inabidi twende mbaali zaidi na kujikumbusha pia katika safari yao ya kuja Kanaani Mungu huyo huyo aliyewafunikiza kwenye aridhi baada ya kujichongea ndama kama sanamu kuifanya ndio mungu wao, ndiye huyo huyo anayechukizwa na uchafu wowote kwa wateule wake, pia ni huyo huyo aliyemgomea Musa kufika Kanaani baada ya Musa kutenda dhambi na licha kwamba Mungu alimhakikishia Musa ndiye atakayewafikisha Wana wa Yakobo kule Kanaani! Na ndiye huyu huyu ambaye hawezi kukubali ushoga wa taifa hilo, na sala zetu juu yao ni makelele mtupu masikioni mwa Mungu!
Ndugu zanguni Wakristo, Mungu aliagana tena na wanadamu kupitia Yesu na ambaye katika huyo, Dunia yote inapata masamaha ya dhambi na baraka zisizo na tofauti na kuondoa habari za hili eti ni taifa teule
Taifa Teule ni wewe uliyempokea Yesu na kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako, na kwa bahati mbaya, Wayahudi walimkataa huyu Yesu na wakaendelea kubakia na imani yao na hawana agano jipya mpaka sasa
Licha ya hivyo, Taifa hilo ambalo ndani yake ndio chanzo cha wokovu kwa Dunia yote, hata imani yao ya kulitunza agano la kale la Mungu limeshinda, sasa utaona mambo ambayo ni machukizo makubwa mbele ya Mungu wanayafanya
Wanajeshi wako vitani huku wakifunga ndoa za jinsia moja, je kunasababu yoyote kwa Mungu kuzuia kichapo kwa nchi ya aina hiyo?
Ichi ambayo imekuwa na ukaribu na Mungu tangu kipindi cha Ibrahimu,
Ichi ambayo kipindi cha Musa, Mungu alifanya maajabu mengi kupitia mkono wa Musa na ili kwamba mataifa na dunia ijue kuwa kuna Mungu mwenye nguvu na si miungu...!
Haikutosha tu wayahudi kutolewa Misiri kuja kwenye nchi yao ya ahadi Kanaani, bali pia Mungu kwa kuona mbaali zaidi alimwambia Musa andike yote matendo makuu kwenye kitabu cha kumbukumbu na ili kizazi na kizazi kije kijifunze katika hayo!
Ajabu taifa hilo ndilo linabariki ushoga na kuwa ndiyo sehemu ya utamaduni wa kile ambacho Mungu aliwaonya wasijihusishe na uchafu wa aina yoyote kwenye nchi yao
Hivi, tunaposema tuwaombee hawa ambao wamekuwa waasi kwa Mungu, tunakuwa tunatumia kitabu kipi kinachoruhusu ujinga huo?
Hatuwezi kuishia tu kwamba, eti ndiyo hivyo tena Mungu alishawachagua na ndiye anayejua! Inabidi twende mbaali zaidi na kujikumbusha pia katika safari yao ya kuja Kanaani Mungu huyo huyo aliyewafunikiza kwenye aridhi baada ya kujichongea ndama kama sanamu kuifanya ndio mungu wao, ndiye huyo huyo anayechukizwa na uchafu wowote kwa wateule wake, pia ni huyo huyo aliyemgomea Musa kufika Kanaani baada ya Musa kutenda dhambi na licha kwamba Mungu alimhakikishia Musa ndiye atakayewafikisha Wana wa Yakobo kule Kanaani! Na ndiye huyu huyu ambaye hawezi kukubali ushoga wa taifa hilo, na sala zetu juu yao ni makelele mtupu masikioni mwa Mungu!
Ndugu zanguni Wakristo, Mungu aliagana tena na wanadamu kupitia Yesu na ambaye katika huyo, Dunia yote inapata masamaha ya dhambi na baraka zisizo na tofauti na kuondoa habari za hili eti ni taifa teule
Taifa Teule ni wewe uliyempokea Yesu na kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako, na kwa bahati mbaya, Wayahudi walimkataa huyu Yesu na wakaendelea kubakia na imani yao na hawana agano jipya mpaka sasa
Licha ya hivyo, Taifa hilo ambalo ndani yake ndio chanzo cha wokovu kwa Dunia yote, hata imani yao ya kulitunza agano la kale la Mungu limeshinda, sasa utaona mambo ambayo ni machukizo makubwa mbele ya Mungu wanayafanya
Wanajeshi wako vitani huku wakifunga ndoa za jinsia moja, je kunasababu yoyote kwa Mungu kuzuia kichapo kwa nchi ya aina hiyo?