Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Miaka 2000 ya kuwa kwenye diaspora Israel hawakupoteza identity yao, lugha yao wala dini yao.
Warumi chini ya Kaisari Nero wali besiege Jerusalem na kuwatawanya kwenye dola yao maana walikuwa wakaidi hawakukubali kuabudu miungu mingi ya kirumi walikuwa jamii pekee iliyoamini katika Monotheistic God kwamba Mungu ni mmoja.
Miaka 630 baadaye, mwarabu mmoja anasoma torah na injili (yeye akawaita watu wa kitabu), akafanya remix (plagiarism) akasema ameshushiwa na Mungu 😃😃😃😃
Everything in the bible and quran revolve around Jews, hata maagizo ya kutokula kitimoto walipewa Wayahudi (Musa) siyo mtume.
Warumi chini ya Kaisari Nero wali besiege Jerusalem na kuwatawanya kwenye dola yao maana walikuwa wakaidi hawakukubali kuabudu miungu mingi ya kirumi walikuwa jamii pekee iliyoamini katika Monotheistic God kwamba Mungu ni mmoja.
Miaka 630 baadaye, mwarabu mmoja anasoma torah na injili (yeye akawaita watu wa kitabu), akafanya remix (plagiarism) akasema ameshushiwa na Mungu 😃😃😃😃
Everything in the bible and quran revolve around Jews, hata maagizo ya kutokula kitimoto walipewa Wayahudi (Musa) siyo mtume.
Daudi Myahudi
Sulemani myahudi
Ardhi ya wayahudi....Jerusalem iliyengwa na Mfalme Daudi akapafanya kuwa makao makuu ya taifa.
#Israel Taifa teule.