Nataka watoto wawili, sitaki mke

Nataka watoto wawili, sitaki mke

huwezi kujua labda hanyagi,ujue mpaka mtu kusema yeye ni wa bei kali lazima ana vitu tofauti na wengine.

Yupo kibiasharaa au huoni hiloo,yap nna vitu tofauti na wengine
 
A good family needs a man and a woman. Watoto wanahitaji kuwa raised na both parents for proper growth.
Usitake kuwanyima hao watoto haki yao ya msingi kwa ajili ya pepo linalokutafuna ubongo wako. Nenda ukafanyiwe maombi hilo pepo likutoke. Poor stupid mind
 
Inaonesha mleta maada nati moja ime loose huko kichwani mwake namshauri akapime akili kama zipo balanced
 
subiria miaka mingine 24 tena ndo utampata wa namna hiyo.
 
Inaonesha mleta maada nati moja ime loose huko kichwani mwake namshauri akapime akili kama zipo balanced

Kizazi hiki kimechanganyikiwa; yaani jinsi changamoto ya kulea ilivyo ngumukulea, mleta mada anaona bora azae lkn watoto wasilelewe na wazazi wote. Maajabu hayaishi.
 
ni uamuzi mzuri ila kabla ya kuutekeleza tafakari upya
 
Wewe ni mwanaume huna budi kuoa mwanamke ili mpate mtoto/watoto. Hii ni amri yetu sie binadamu. Hizi nyingine ni mbwembwe tu. Eti unataka mtoto bila mama yake amezing!!
 
Hivi jamani mirembe ikl wapi?? Na ni mbali kiasi gani. Nadhani kuna haja ya kupajua!!!
 
utakuwa unakosea sana kuwanyima hao watoto haki ya kupata malezi kutoka kwa mama yao na kitu kingine hiyo biashara ya kumpa mama pesa ili akuachie mtoto ni illegal Tanzania,huyo mwanasheria wako nina wasiwasi nae kama hata ancertificate y sheria. na kitu kingine je hao wanawake wakijifungua watoto wa jinsia moja utawakubali au utawakataa?
 
Back
Top Bottom