Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Huyu jamaa ukifuatilia topic zake humu hakuna anachoongea cha maana zaidi ya ngono tu.
Mkuu naomba unielewe, Mimi nataka watoto kwa damu yangu mwenyewe
Mkuu naomba unielewe, Mimi nataka watoto kwa damu yangu mwenyewe
Hee Handsome Youngman Gogle; wee lete posa yako kwetu !! Dinazarde, nae masharti yake utimize !!Afu wewe Kama unafanania na hiyo avatar yako basi unakidhi VIGEZO na MASHARTI kwa kiasi kikukbwa
Habari wakuu
Wakuu nikiwa nakaribia umri wa miaka 25, nimefanya uamuzi kwamba sitaki kuwa na mke kwa maisha yangu yote, ila nataka kuwa na watoto wawili, mmoja wa kiume na mwengine wa kike kutoka kwa wanawake tofauti, hivyo natoa tangazo hapa kwamba natafuta wanawake wawili niwatie mimba kila mmoja anizalie mtoto mmoja.
Kwa ambae yuko tayari naomba tuwasiliane kwa gogle@gmail.com ili tuweze kukaa na mwanasheria wangu kwa ajili ya makubaliano ya kisheria na malipo, mwanamke hatokuwa na mamlaka yoyote kwa mtoto
VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
Majibu yote uliyoyapata mpaka sasa hivi yanakutosha kufanya analysis ya reseach unayofanya, 50+ sample si kidogo kukuonyesha kuwa upo nje ya kundi ukitumia majority rule, so baki tu na minority ryt inayokupa haki ya kutoa mawazo yako
Baada ya vikao na mhusika na wazee kukutana kikao maalum; (NB masharti yatafuatia)Nimekusoma Mkuu, nitarajie Pm kutoka kwako Leo?
habari wakuu
wakuu nikiwa nakaribia umri wa miaka 25, nimefanya uamuzi kwamba sitaki kuwa na mke kwa maisha yangu yote, ila nataka kuwa na watoto wawili, mmoja wa kiume na mwengine wa kike kutoka kwa wanawake tofauti, hivyo natoa tangazo hapa kwamba natafuta wanawake wawili niwatie mimba kila mmoja anizalie mtoto mmoja.
Kwa ambae yuko tayari naomba tuwasiliane kwa gogle@gmail.com ili tuweze kukaa na mwanasheria wangu kwa ajili ya makubaliano ya kisheria na malipo, mwanamke hatokuwa na mamlaka yoyote kwa mtoto
vigezo na masharti kuzingatiwa