Yaasin2025
Member
- Jan 13, 2014
- 65
- 9
Yeye na lawyer yake wote mamburula
Umeona eehh
Yeye na lawyer yake wote mamburula
Mmmh.....:A S-confused1:Habari wakuu
Wakuu nikiwa nakaribia umri wa miaka 25,ila nataka kuwa na watoto wawili, mmoja wa kiume na mwengine wa kike kutoka kwa wanawake tofauti, hivyo natoa tangazo hapa kwamba natafuta wanawake wawili niwatie mimba kila mmoja anizalie mtoto mmoja.
mwanamke hatokuwa na mamlaka yoyote kwa mtoto
VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
Ni muhogo wa jang'ombe
Kwenye VIGEZO na MASHARTI nimeweka kipengele kinachotaka mwanamke awe ni MTANZANIA , so no need to go nje ingawa ngawila zipo.
mihogo ya jang'ombe imejaa mizizi haina radha
Mbona Mimi sio tatizo mnaloliona hapo, ni makubaliano ya kisheria tu, nakupa mimba unanipa mtoto wangu, nakupa hela yako biashara imeisha.
Ubongo umeliwa kivipi?
Sijasema sitaki mwanamke, nimesema sitaki mke.
Lakini inawezekana;
Namjua mama mmoja aliyewahi kufanya makubaliano ya kisheria na
mdada fulani;
Yule dada alibeba siku alipozaa ndo siku walipomalizana mkataba
dada akaishia zake arusha akamwachia yule mama kichanga cha siku moja.
Kwa sasa kitoto kina miaka minne.
Hebu nipe mawasiliano yake
Kama ni hivyo tafuta mtoto yatima mwenye blood group sawa na wewe halafu muongezee damu yako...