Nataka watoto wawili, sitaki mke

Nataka watoto wawili, sitaki mke

[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]kijana punguza utani na maisha ya familia! jaribu kuassess kuna kiasi gani cha watoto walio mitaani sasa sababu ya ujinga na mizaha ya watu kama nyie! mnatamani kuzaa, wakati bado mko shuleni/kwa wazazi wenu! kwa umri wangu usiiongezeka wa miaka 23, bado sana!!! your thinking capacity, financial standing, brain growth and decision making in the society, still uko chini sana!!!!!


[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]kama kweli unataka watoto, jipange kwanza usije ukatuongezea idadi ya watoto wa mbwa mwitu katika jamii yetu!!! tumechoka kuua!! sisi sio pilato ama israel mtoa roho!!! sisi ni jamii inayopenda amani kabisa!!!!
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
jaribu kuongea na wazazi wako kwanza waone ni jinsi gani ya kukupunguzia mihemko yako ya kila siku! sidhani kama watashindwa kitu hapo kwako! ila kwenye suala la watoto, subiri kwanza ukue!!!

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]kuanzia gharama za kuwakuza na kuwatunza, mpaka kuja kuwapa haki yao ya msingi ya elimu, tena elimu ya juu kabisa!! utatweta kijana!! utatujazia server humu jf kwa thread za kusumbuliwa na watoto!!
kua uyaone mwanetu!!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hivi shule bado hazijafunguliwa tu jamani? Maana hizi Alinacha zimezidi humu ndani
 
Mi nilidhaniaa unamuomba Mungu akutelemshie toka mbinguni
Una vituko kila kukicha vituko khaa!!!!!!!!!
 
Mi nilidhaniaa unamuomba Mungu akutelemshie toka mbinguni
Una vituko kila kukicha vituko khaa!!!!!!!!!

Afu wewe Kama unafanania na hiyo avatar yako basi unakidhi VIGEZO na MASHARTI kwa kiasi kikukbwa
 
mama gani atakubali ku give up mwanae hivi hivi...mtoa mada acha kuwa brainwashed na tamaduni za ng'ambo ndio kuna masurrogate morthers haya makitu bado km una ngawila nenda nje ukapandikiza mbegu zako huko,mie sihitaji mume nataka watoto ila ujinga wa kuwafanya wasimtambue baba yao sitaufanya,nikilifikiria naona limekaa kiselfish sana wewe na huyo lawyer uchwara wako mnatakiwa counselling km wazima,huo uchoyo hao watoto hawahitaji baba mchoyo ktk malezi yao...it takes a real man to be a father..............

Umenikunaaaaaa! una akili ka Mimi.
 
age yako ni reasonable but akili yako imedumaa haufikilii mbali.!
 
sijui umelelewa kwenye familia ya aina gani yani
 
Wewe na huyo lawyer wako mnahitaji ushauri na nasaha pia maombi ya kufunga. Utawaua wazazi wako kwa pressure kwani hawataamini kuwa wamezaa na kulea ki moron wewe!

Najaribu kujiuliza kama kunasheria mpya ya watoto imetoka, pengine ndio inayowapa kiburi hawa....
 
Back
Top Bottom