Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
Picha huna nyingine, zingine ushaziweka(ga).




Kumbe huwa zinarudiwa rudiwa?
Picha huna nyingine, zingine ushaziweka(ga).




That's so stupid, though.
I mean, this whole entire time you've seen me ogling you but you wanna play dumb and act like you don't know what time it is?
Ain't nobody got time for that.
Hahahahaha Ngabu... sometimes tunapenda kusikia ile "yaani wewe ni mzurii", Unaonaje tukispend some time together" etc
inshort alitakaumpige fiksi ndioaoe kweli a akubali haraka...uongo wanautakaga wenyewe wala sio sisi.....zingine zuga tu hawa wanapenda uongo...
Hata kama sikuoni mzuri nikwambie tu hivyo hivyo?
Kweli mapenzi bila uongo uongo hayaendi.
Ni lazima mdanganyane kidogo ili yanoge.
Watanzania katika ubora wao!! silence is the best medicine!
Hahahaa si nilifikiri ulikua umevutiwa nae?
Ila kuna kautamu kakutongozwa jamani tuacheni utani
I see we jamaa medicine yao unaijuwa vizuri sana, ukihanganya na stress za Magufuli wanatamani wakumeze.Hahaaaaa....if you ain't got haters you ain't poppin'.
Hapo ni leo wakati naenda boksi alfajiri....USA baby
View attachment 371879
Inategemea kama Nina interest nae au lahHivi mtu akiwa anakutongoza kwa wakati huo kichwani mwako wewe unakuwa unawaza nini?
Unakuwa tayari ushajua kwamba utamkubalia au utampiga chini?
Halafu ukishamkubalia unamwambiaje sasa? Ndiyo nimekubali?
I see we jamaa medicine yao unaijuwa vizuri sana, ukihanganya na stress za Magufuli wanatamani wakumeze.
Inategemea kama Nina interest nae au lah
sio ngosha ni mnyaluu wa iringa huyo ndugu yangu labda awe afrikast wa kimkoa hahahaaaa
Nyani Ngabu bwana hivi hujui magufuli amesema tufunge mkanda a.k.a tubane matumizi tukuze uchumi? lazima nikiripoti kwa mzee magu utumbuliwe. Kwanza ulete remittances acha kutumbua peke yako. #wenyevyaowatubanaHahaaaaa....if you ain't got haters you ain't poppin'.
Hapo ni leo wakati naenda boksi alfajiri....USA baby
View attachment 371879
Aisee kumbe.. Hayo niliyajua jana bana..sio ngosha ni mnyaluu wa iringa huyo ndugu yangu labda awe afrikast wa kimkoa hahahaaaa
Nyani Ngabu bwana hivi hujui magufuli amesema tufunge mkanda a.k.a tubane matumizi tukuze uchumi? lazima nikiripoti kwa mzee magu utumbuliwe. Kwanza ulete remittances acha kutumbua peke yako. #wenyevyaowatubana