Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Sio hapo hapo Ngabu bwana lazima kuzungusha kidogo ndio ladha ya mtongozo inapokuwa tamuKwa hiyo kama una raghba naye ndo utamwambia 'ndiyo'?
Sio hapo hapo Ngabu bwana lazima kuzungusha kidogo ndio ladha ya mtongozo inapokuwa tamuKwa hiyo kama una raghba naye ndo utamwambia 'ndiyo'?
Mkoko wa heshima mwanawane, nimeuzoom sijapata brand yake, ni Bima hii au nimefananisha tyuu?Hahaaaaa I'm not called Ngabu for nothing.
Sasa kwa sababu jana nilichelewa kidogo kurudi ikabidi nipitie staftahi. Nikamwambia Monique ashuke anipige picha nikikata kona.
Halafu kulikuwa na fog kidogo leo...
View attachment 371892
Tatizo lao linaanzia hapa....Kufunga mkanda hakupo kwenye msamiati wangu.
Ni mwendo wa kumwaga radhi ili niongeze wanaonifuatilia😀.
haaaaa lol
mbona umefurahi sana Shem?Kufunga mkanda hakupo kwenye msamiati wangu.
Ni mwendo wa kumwaga radhi ili niongeze wanaonifuatilia😀.
hiyo inaitwa jeuri dawa yake ni kiburi! Ngoja siku wabongo wakukute kwa bahati mbaya eneo ambalo ndivyo sivyo waku-mange-lize. Nilichogundua watanzania wanachukulia serious whatever wanachoona mitandaoni.Shemeji mzima wewe ...![]()
![]()
mbona umefurahi sana Shem?
Mjibu jamaa kutongoza kukoje??
Mkoko wa heshima mwanawane, nimeuzoom sijapata brand yake, ni Bima hii au nimefananisha tyuu?
Hahaah me mzima shemeji.Shemeji mzima wewe ...
mi naona we ndio umpe experience mwanaume mwenzio kuhusu kutongoza....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hiyo inaitwa jeuri dawa yake ni kiburi! Ngoja siku wabongo wakukute kwa bahati mbaya eneo ambalo ndivyo sivyo waku-mange-lize. Nilichogundua watanzania wanachukulia serious whatever wanachoona mitandaoni.
Hivi kwanini watu wanakufatilia sana humu?Hakuna hata anayenijua humu kwa hiyo hata wakinikuta hawatajua kama ni mimi.
Lakini unajua nini, hata wakinikuta hawatakuwa na baya la kusema lililo la kweli.
Kama wakisema baya basi itakuwa uzushi tu.
USA baby![]()
.![]()
Hivi kwanini watu wanakufatilia sana humu?
Haki ya mimi siku ukijitoa jf kuna watu nao watajitoa humu
Nichumu basi nami nisikie rahaaa maaana nishasemwa sanaaaHahahaaa coz I'm the shit.
Nichumu basi nami nisikie rahaaa maaana nishasemwa sanaaa
Sitaki mpaka unichumuWe unasemwa nini?
Sitaki mpaka unichumu
Kiki mbona nishaipata yaan mi na wewe ni kama diamond na zari tunafatiliwa balaaaUnatafuta kiki?
Kiki mbona nishaipata yaan mi na wewe ni kama diamond na zari tunafatiliwa balaaa
Heheheh acha nicheke mieeeWe umejuaje mi nafuatiliwa?