Nataka Unitongoze

Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.
Hali ya hewa ishachafuka bana.

Kwanza leo nilikuwa na hamu sana ya vibomu vya Mali na mi nikawa nimejiandaa na mapicha kibao.

Basi ngoja nipotezee tu. Tutakutana kwingine siku ingine maana hii ligi ni endelevu teh teh teh.
teh teh teh teh hayo mapicha yaweke utayarusha siku nyingine...
 
Sasa ukistaajabu ya NGABU utakuja ona ya MATOLA,
Ngabu anaponda sana nchi hii lakini his pops was an adviser to TOP BUREAUCRATS in Tanzania including Nyerere himself.
The father traveled a lot and the kid got a robust experience. teh teh teh and after asking i hear he had a very bad temper at a young age. He had a sennse of Belligerency in him. What a Brat.

Hahahaaaaa yaani wewe bana,

Mshua wangu hajawahi kabisa kuwa mshauri serikalini.

Umechanganya madesa na hujui kama hujui.
 
Bwa ha ha ha ha ha ha....
Daaah yaani we jamaa nakuchora kweli yaani.
Sasa ndo nimeamini kabisa kuwa hujui kitu.

Lakini, kwa vile nina uhakika wa 110% kuwa hujui kitu ndo maana nakupa rukhsa hapa ya kumtaja huyo unayedhani ndo mzee wangu.

Halafu kwanza mzee wangu marehemu tayari.....sasa mtaje hapa hapa na watu wote wamjue.

Haaahaaaaa. FisadiKuu bado hujamjua huyu jamaa tu?
C'mon aisee.
NGABUNOCCHIO, lies lies lies lies!
bwahaaaah bwahaaaaa sikujua kama wewe jamaa unaweza kwenda extra miles hivi daaah.
teh teh teh
 
Haaahaaaaa. FisadiKuu bado hujamjua huyu jamaa tu?
C'mon aisee.
NGABUNOCCHIO, lies lies lies lies!
bwahaaaah bwahaaaaa sikujua kama wewe jamaa unaweza kwenda extra miles hivi daaah.
teh teh teh

Umeshindwa and I'm done mpaka utapokuja na jipya.

Deuces.
 
Hali ya hewa ishachafuka bana.

Kwanza leo nilikuwa na hamu sana ya vibomu vya Mali na mi nikawa nimejiandaa na mapicha kibao.

Basi ngoja nipotezee tu. Tutakutana kwingine siku ingine maana hii ligi ni endelevu teh teh teh.
Hahahaha utakapo kutana sehemu nyingine na siku nyingine waambie Chihuahuas wako wa backoff maana bila tahadhari utasabisha vita ....kuna Pitbulls wapo huku sema wako trained vizuri hivyo wanaweza kuwa obdient ,na sio kwamba hawawezi kuwa aggressive
 
Sasa ukistaajabu ya NGABU utakuja ona ya MATOLA,
Ngabu anaponda sana nchi hii lakini his pops was an adviser to TOP BUREAUCRATS in Tanzania including Nyerere himself.
The father traveled a lot and the kid got a robust experience. teh teh teh and after asking i hear he had a very bad temper at a young age. He had a sennse of Belligerency in him. What a Brat.
He was growing up a CCM Chipukizi teh teh teh...

Kuna wakati fulani nilikaa na ndugu yangu mmoja tukipiga soga, basi zikaingia story za JF.. Yule ndugu akaniuliza "Hivi Nyani Ngabu bado yupo JF? Yule bwana ni CCM pure alafu ni mbishi sana".. Daaah nilibaki nacheka tu..

BTW Nyani Ngabu hivi ni kweli ulikuwa na bad temper ulivyokuwa yank?? Sasa kule Beach Comber Mzee alikokuwa anakupeleka ukiwa mdogo si uliwazamisha sana watoto wa kihindi na kizungu.. hehehehehe
 
BTW Nyani Ngabu hivi ni kweli ulikuwa na bad temper ulivyokuwa yank?? Sasa kule Beach Comber Mzee alikokuwa anakupeleka ukiwa mdogo si uliwazamisha sana watoto wa kihindi na kizungu.. hehehehehe

Nilivyokuwa yanki beach comber haikuwepo Mangi.

Au ushasahau kuwa mi ni kibabu wa miaka 63?
 
Haaahaaaaa. FisadiKuu bado hujamjua huyu jamaa tu?
C'mon aisee.
NGABUNOCCHIO, lies lies lies lies!
bwahaaaah bwahaaaaa sikujua kama wewe jamaa unaweza kwenda extra miles hivi daaah.
teh teh teh
Mali akili inashindwa kabisa kung'amua.. Japo nawajua watoto waliokulia UDSM on late 90's and early 2000's lakini huyu Nyani amekuwa mgumu kujua ni mtoto wa nani.. Nawakumbuka akina Peter na Deo ambao nao walikulia Mlimani na wako huko USA Baby..
 
Mali akili inashindwa kabisa kung'amua.. Japo nawajua watoto waliokulia UDSM on late 90's and early 2000's lakini huyu Nyani amekuwa mgumu kujua ni mtoto wa nani.. Nawakumbuka akina Peter na Deo ambao nao walikulia Mlimani na wako huko USA Baby..

Mi late 90s tayari nshagonga 40.

Mangi unacheza wewe....teh teh teh.

Sasa fanya hivi...set me up.

Tafuta mdada aje ajigonge kwangu kwa lengo la kupata info zangu.

Ila sharti moja...lazima awe mzuri na lazima nimle.
 
Hahahaaaaa yaani wewe bana,

Mshua wangu hajawahi kabisa kuwa mshauri serikalini.

Umechanganya madesa na hujui kama hujui.

Nope, nope, nope, nope!
Sijachanganya hata kidogo mzeee.
Wewe kuna mambo huwa unayazidisha hapa kuhusu mshua wako na wakati hayapo hivyo kama yalivyo.
Unadanganya ili kupata legitimacy to what you speak.

Mosi ukasema mzee kasoma USA Tangu bachelor, huo ni wongo. Mzee kasoma UDSM first degree.
Pili,Ukasema Mzee hajasaidiwa na serikali, huu ni wongo Nyerere aliwaunganishia dili kusoma kupitia The Rockefeller Foundation.
Tatu, unasema mzee alikuwa Professor, huu ni wongo mzee wako alikuwa na PhD tu unaficha ili wasimjue tu. He's a professor by virtue of being a University teacher.
Nne, kuhusu kusoma USA ukweli tunaujua mimi na wewe na jinsi uanvyopindisha hapa.
Bwahahahahahahahahah teh teh

Nlitaka tu uje huku nikuweke kisu cha shingo leo.
Sasa UncleBen na FisadiKuu mkishindwa hapa basi tena
 
Lakini wewe kuna mtu nakufananisha nae mahali... Na kule kwenye mitandao unatumia jina feki flani hivi la ki hip hop..

No. Siyo mimi kabisa.

Sipo kwenye mtandao wowote ule zaidi ya JF.

Mtahisi wengi sana lakini ukweli kamwe hamtaupata.

I'm way ahead of the curve.
 
Nope, nope, nope, nope!
Sijachanganya hata kidogo mzeee.
Wewe kuna mambo huwa unayazidisha hapa kuhusu mshua wako na wakati hayapo hivyo kama yalivyo.
Unadanganya ili kupata legitimacy to what you speak.

Mosi ukasema mzee kasoma USA Tangu bachelor, huo ni wongo. Mzee kasoma UDSM first degree.
Pili,Ukasema Mzee hajasaidiwa na serikali, huu ni wongo Nyerere aliwaunganishia dili kusoma kupitia The Rockefeller Foundation.
Tatu, unasema mzee alikuwa Professor, huu ni wongo mzee wako alikuwa na PhD tu unaficha ili wasimjue tu. He's a professor by virtue of being a University teacher.
Nne, kuhusu kusoma USA ukweli tunaujua mimi na wewe na jinsi uanvyopindisha hapa.
Bwahahahahahahahahah teh teh

Nlitaka tu uje huku nikuweke kisu cha shingo leo.
Sasa UncleBen na FisadiKuu mkishindwa hapa basi tena

Sasa wewe nimeshakupa rukhsa ya kumtaja hapa lakini wapi.

Unakuja magazeti yalojaa ngonjera.

Wewe mtaje hapa. Au kama vipi nitaje hata mimi.

Unaogopa nini? Si nshakupa rukhsa?

Taja..
 
Mali akili inashindwa kabisa kung'amua.. Japo nawajua watoto waliokulia UDSM on late 90's and early 2000's lakini huyu Nyani amekuwa mgumu kujua ni mtoto wa nani.. Nawakumbuka akina Peter na Deo ambao nao walikulia Mlimani na wako huko USA Baby..

Haaahaaa now you see?
You can't see the truth because the brother has fed you lies bruh.
Ukiangalia vizuri he's good at creating myths and legends about himself.
But its all lies and lies.
Bwaaahahahahahah
 
Lakini wewe kuna mtu nakufananisha nae mahali... Na kule kwenye mitandao unatumia jina feki flani hivi la ki hip hop..

Ebana Fisadi eh...huyo shosti wako Mali vipi?

Mi nshampa rukhsa amtaje hapa mshua wangu lakini hamtaji.

Badala yake anakuja na ngonjera zisizo na kichwa wala miguu.

Hebu labda mwambie na wewe atakusikiliza.

Maana tokea jana ngonjera ni zilezile tu hadi nachoka sasa.

Au kama vipi mwambie akujie PM halafu wewe uje ulipuke hapa.

Unaonaje?
 
Nope, nope, nope, nope!
Sijachanganya hata kidogo mzeee.
Wewe kuna mambo huwa unayazidisha hapa kuhusu mshua wako na wakati hayapo hivyo kama yalivyo.
Unadanganya ili kupata legitimacy to what you speak.

Mosi ukasema mzee kasoma USA Tangu bachelor, huo ni wongo. Mzee kasoma UDSM first degree.
Pili,Ukasema Mzee hajasaidiwa na serikali, huu ni wongo Nyerere aliwaunganishia dili kusoma kupitia The Rockefeller Foundation.
Tatu, unasema mzee alikuwa Professor, huu ni wongo mzee wako alikuwa na PhD tu unaficha ili wasimjue tu. He's a professor by virtue of being a University teacher.
Nne, kuhusu kusoma USA ukweli tunaujua mimi na wewe na jinsi uanvyopindisha hapa.
Bwahahahahahahahahah teh teh

Nlitaka tu uje huku nikuweke kisu cha shingo leo.
Sasa UncleBen na FisadiKuu mkishindwa hapa basi tena
Fiasadi ndio hajakuelewa tu Mali ,mimi nishamjua siku mingi sana ,
 
Fiasadi ndio hajakuelewa tu Mali ,mimi nishamjua siku mingi sana ,

Oh kumbe nawe unanijua?

Ntaje basi...

Halafu hivi hamuoni kuwa ni weird nawa beg mnitaje?

FisadiKuu na wewe huoni kama ni ajabu nawabembeleza hawa jamaa wanilipue?

Mnaogopa nini kunitaja?
 
Mi late 90s tayari nshagonga 40.

Mangi unacheza wewe....teh teh teh.

Sasa fanya hivi...set me up.

Tafuta mdada aje ajigonge kwangu kwa lengo la kupata info zangu.

Ila sharti moja...lazima awe mzuri na lazima nimle.
Do I look like I've time for that??

Dude, like deep down nianze kuset off watu waniletee info zako??

One thing you should know big fella, not everyone that disagrees with you is your hater.. Sometimes huwa tunafanya haya tukikosa pesa ya kwenda kukaa baa kunywa bia, si unajua bongo walalahoi hatuishi kwa debit card..
 
Do I look like I've time for that??

Dude, like deep down nianze kuset off watu waniletee info zako??

One thing you should know big fella, not everyone that disagrees with you is your hater.. Sometimes huwa tunafanya haya tukikosa pesa ya kwenda kukaa baa kunywa bia, si unajua bongo walalahoi hatuishi kwa debit card..

Whatever.

Ila mbona jamaa zako tokea jana hawanitaji? Wanaishia kutishia tu.

Rukhsa nimewapa? Wanaogopa nini sasa?

Teh teh teh....uje siku moja Triple 777 tuzitwange Stella Artois
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom