Nataka Unitongoze

Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.
HUYO MWANAMKE ATAKUWA MCHAGA TENA MMERU HATA MIE ISHANIKUTAGA NAMTONGOZA ANANIAMBIA BADO HAUJANITONGOZA VIZURI
 
You just wait till I get my hands on you...

You will live to tell a tale!

Hahahahahahahaaaa haya.....
Let me see if I will be a tale teller or you'll be the one hehehehehee heheh

Ponjono.
 
Kweli mapenzi nayo bila uongo uongo hayaendi.

Wakati mwingine kijitu hata kama hukipendi unakiambia unakipenda ili mradi tu.

Laiti tungekuwa na uwezo wa kuona yaliyomo mioyoni na vichwani mwa watu kuhusu mapenzi, sijui hii dunia ingekuwaje.
Hahahahahah! Eti kijitu hata kama hukipendi unakiambia unakipenda. Nyie wabaya jamani
 
Teh teh teh mademu wanapenda Sauti ya Nyani Ngabu, rangi ya ngozi na Meno.!
And ooh yes he's a sharp dresser!
Wewe unampendea nini jamaaa??????
Teh teh teh Muhehe akienda shule bwanaaa.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Huyu mnyalu hahahahahaa nikisema nilichompendea hapa watu watadesa. ....

Viko vingi ila ntasema kamoja tuu.....

Mie bana nilipenda kichogo chake Hahahahahahahaaa
Yaani day one nimemuona bana alikuwa kuvaa cap si unajua swaga za USA baby....

Sasa sijui yeye aliniona muda ile kunisogelea sijui nini kilimtuma bana akavua ile cap daaah nilizubaa kama dakika 5 hivi namtizama tuu....

Uchogo wa mnyalu bana sio utani udenda ulinitoka hivihivi hehehehehee

Vingine siri ya Kasie.
 
UOTE="adden, post: 16980764, member: 345823"]Daaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh[/QUOTE]
Du

Duh! Majanga
 
Kwani Mke huko Ikungulyabashashi anatongozwa au unapeleka tu posa ya ng'ombe na barua kwa baba mkwe..

😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Huko Mangi unaletewa tu...halafu we ndo unachagulaga.
 
Huyu mnyalu hahahahahaa nikisema nilichompendea hapa watu watadesa. ....

Viko vingi ila ntasema kamoja tuu.....

Mie bana nilipenda kichogo chake Hahahahahahahaaa
Yaani day one nimemuona bana alikuwa kuvaa cap si unajua swaga za USA baby....

Sasa sijui yeye aliniona muda ile kunisogelea sijui nini kilimtuma bana akavua ile cap daaah nilizubaa kama dakika 5 hivi namtizama tuu....

Uchogo wa mnyalu bana sio utani udenda ulinitoka hivihivi hehehehehee

Vingine siri ya Kasie.

Uchogo au ni ile Range Rover ndiyo iliyokuvutia?
Teh teh teh teh! Semaga ukweli bwanaaa~~~~~~~
😀😀😀😀😀😀😀
 
hehehehe Mali ya kweli hayo... Ebu nishushie data zaidi hahahahaha

Mi naonaga mpaka kisukuma anaongea humu kumbe nilikuwa nadanganywa tu..

Teh teh teh teh!
Huyo ndiyo Ngabu akili nyingi sana.
Mbona mimi naongea hata Kikurya lakini ni mla vumbi wa Mtwara.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom