MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
Hahahaha halafu average person atakayetumia IP address kufanya tracing sana sana atakacho ona ni region au City uliyopo ,hawezi kujua majina yako wala chochote sasa mbaya zaidi ukute unatumia Wi-Fi ndio kabisa hawakupati ,vingine wataenda tu kwa ISP kupata majina na adress ya mtumiaji ,ambavyo kukupata pia ni kazi nyingine kwa sababu anayelipia internet anaweza akawa sie ndie aliyetumia ,basi Matola na Tor browser yake kaikomalia kweli kweli wakati ina VPN tu
Uncle Ben, Good to see you bro!
Sasa nacheka jinsi huyo jamaa MATOLA na baadhi ya watu wanavyonitukana hata mambo hayawahusu.
FisadiKuu bruh mchukulie poa huyu jamaa kwasababu our game begins now. More is yet to come.
😀😀😀😀😀😀😀