Nataka Unitongoze

Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.
hiyo inaitwa jeuri dawa yake ni kiburi! Ngoja siku wabongo wakukute kwa bahati mbaya eneo ambalo ndivyo sivyo waku-mange-lize. Nilichogundua watanzania wanachukulia serious whatever wanachoona mitandaoni.

I truly respect you.
Na nisingependa mimi na wewe tuingie kwenye malumbano yoyote.
Haya mambo mwanzo wake wanaujua FisadiKuu na UncleBen .
Please maintain your dignity na jitahidi sana kutoingilia kitu usichokijua.
 
Ha ha..am careful aisee. Haidondoki nakwambia 🙂)




Ni mvinyo bestito. Jaribu ukiweza, utaipenda Chief. Au tukutane pale maeneo ya Dodoma na kupata lichupa lizima.

Weeee nitajulia wapi hivyo vitu aiseeee!
Teh teh teh teh teh! Ntakaribia hata niione tu kutoa ushamba.
😀😀😀😀😀😀😀
 
I truly respect you.
Na nisingependa mimi na wewe tuingie kwenye malumbano yoyote.
Haya mambo mwanzo wake wanaujua FisadiKuu na UncleBen .
Please maintain your dignity na jitahidi sana kutoingilia kitu usichokijua.
Duhh. Mkuu umechukulia serious hadi umenipatia warning poa bwana ila wala sikuandika kwa ubaya na comment yangu ilikuwa very neutral! Peace
Siku nyingine nitakuwa nasoma kimya kimya.
Kwaherini.
 
Mmh, Hebu mwaga mchele Mkuu
Hapa naona naweza kutoa staili mbili kali ambazo zinatoaga majibu ya chanya hizi hapa:
1. MNYENYUE JUU
Fanya linalowezekana ufikie point ya kumnyanyua juu tena bila idhini yake kwa mfano unaweza ukamuanza hivi(mkiwa hata beach au matembezini) mwambie 'anza mazoezi ya kujenga misuli' atauliza kwanini? mwambie 'mi napenda kuongozana na demu ambaye nakuwa na uhakika ninaulinzi wa kutosha hebu kwanza niuone msuli wako (hapa atajaribu kuutunisha mkono na wewe ushike na uubonyeze taratibu taratibu huku ukionesha kama unaubeza) halafu unamuuliza hivi unakilo ngapi? (hapa mademu wengi huwa wanasema tu ukadirie mwenyewe anaweza kuwa na kilo ngapi) kwa kumshtukiza ghafla unamnyenyua juu kama mtoto unamove hatua kama mbili hivi halafu unamshusha kisha unajifanya unamlaumu yeye kwamba amekufanya hadi umemnyenyua (unamlaumu pasipo kuwa siriaz sana) hapa anaweza akaanza kujichekesha chekesha na wewe jioneshe upo nae tu ila kichwani mwako kuna mambo yako unawaza,hapo atazidi kujisogeza karibu zaidi na wewe kutokana na furaha ya kunyenyuliwa(wanawake wengi wanapenda kunyenyuliwa juu na wanaume) kujifanya unayako kichwani kutamfanya ahangaike kitu gani kimepungua kati yake na wewe na hapo ndipo utasimama na kujifanya kama unakitu unataka kumuambia huku unaangalia umbali hata wa 2km kisha unamshika unamvutia kwako unaanza kumpiga makiss/mate ndo tayari hivo(kumbuka mission yote hiyo unaifanya bila kumtamkia neno lolote nakupenda).
2.TUMIA WINGER.
Kwenye kutumia winger huwa napenda sana sana kutumia wanawake wenzie kwani huwa wana namna nzuri ya kuelezana sasa fanya hivi; muwinde demu unayemuhitaji uyajue mazingira ambayo hupendelea kukaa kisha muandae winger mwanamke na itapendeza zaidi hicho kijiwe wakiwapo wanawake kuanzia watatu na yule unae muhitaji,mwambie yule winger kuwa akikuona umejipitisha ajifanye anawaonesha wale wanawake huku kampa kisogo yule demu mlengwa yaani awe kama anawaambia wale wanawake wengine awaambie hivi; mnamuona yule kaka pale ana roho nzuri ya huruma yule kaka basi tu,yaani katika wanaume naowakubali huyu huwa rafiki yangu sana sema tu tatizo lake ni moja wanawake na akishatoka nao wanavyodata kwake sijui hata anawapaga nini.(Kisha yule winger ajifanye kama anawatahadharisha vilevile bila kumuangalia yule demu mlengwa.amalizehivi).Aaah lakini sio inshu sana nimefanya tu kama kuwajulisha muwe makini nae.MPAKA HAPO MISSION IMEKAMILIKA. Unachotakiwa kufanya wewe ni kukaa sehemu ambayo unajua kabisa yule demu mlengwa lazima apite.Yaani relax kabisa utamuona tu akipita atavyoanza kuji qualfy mbele yako kisha mpromise unataka kutoka nae,tayari unaenda kula mzigo. DONE.
 
ha ha haaa! dunia kama tambala la kudekia inazidi chakaa day after day! daa!
 
Aiseee hivi humu jamii forum kuna watu ni exceptional ?? Hapa umeandika nini sasa dada ??

Sikujua kuna watu mnachukulia mambo ya mtandaoni serious namna hii
hehehehehe kinachoshangaza zaidi yeye anayefuatiliwa wala hatukani bali anakuja na picha za USA Baby kuwakomesha wanaomfatilia..

Ila yule ambaye hata hausiki na chochote na mwenyewe anasema wala hamjui na hajawahi kuonana nae yupo anarusha matusi na kutoa suggestions on behalf.. Inashangaza kweli hehehehehe
 
hehehehehe kinachoshangaza zaidi yeye anayefuatiliwa wala hatukani bali anakuja na picha za USA Baby kuwakomesha wanaomfatilia..

Ila yule ambaye hata hausiki na chochote na mwenyewe anasema wala hamjui na hajawahi kuonana nae yupo anarusha matusi na kutoa suggestions on behalf.. Inashangaza kweli hehehehehe
Aiseee mimi ameniacha hoi ,si angejifunza tu tokea hayo malumbano yaanze baina ya wahusika hakuna hata mmoja aliyetumia lugha ya matusi ,au anafikiri watu kutukana hawawezi ??

Shida yote ni Ngabu kuwa na price tag humu jamvini kama anavyojipambanua mwenyewe
 
Aiseee mimi ameniacha hoi ,si angejifunza tu tokea hayo malumbano yaanze baina ya wahusika hakuna hata mmoja aliyetumia lugha ya matusi ,au anafikiri watu kutukana hawawezi ??

Shida yote ni Ngabu kuwa na price tag humu jamvini
hehehehehe labda inamuuma tunavyomweka jamaa busy hapa mpaka huko PM anashindwa kuwajibu..

Struggle is really homie.. Hayo matusi yalivyoshushwa utasema watu walikuwa wanapigana hapa hahahaha..
 
hehehehehe kinachoshangaza zaidi yeye anayefuatiliwa wala hatukani bali anakuja na picha za USA Baby kuwakomesha wanaomfatilia..

Ila yule ambaye hata hausiki na chochote na mwenyewe anasema wala hamjui na hajawahi kuonana nae yupo anarusha matusi na kutoa suggestions on behalf.. Inashangaza kweli hehehehehe

Yoo ma nigga Steph....basi bana leo wakati natoka boksi kuna mshenzi mmoja akakatiza mbele yangu. Bado kidogo nimchomolee mguu wa kuku. Mshenzi sana jamaa.....ona hicho ki Benz chake...

20160727_133019.jpg


Ila safari iliendelea fresh tu ma nigga

20160727_132654.jpg
 
Yoo ma nigga Steph....basi bana leo wakati natoka boksi kuna mshenzi mmoja akakatiza mbele yangu. Bado kidogo nimchomolee mguu wa kuku. Mshenzi sana jamaa.....ona hicho ki Benz chake...

View attachment 372155

Ila safari iliendelea fresh tu ma nigga

View attachment 372157
Sasa wakiona hivi povu linawatoka na kutamani kwenda huko USA Baby.. Mwisho wa siku wanakuja kurusha matusi kama vichaa...

BTW Big Fella unaendesha gari gani?? Mini Van nini, mbona boneti hatuioni hata tuchungulie brand hiyo..
 
Shida yote ni Ngabu kuwa na price tag humu jamvini kama anavyojipambanua mwenyewe

Hahahaa I'm the shit playboy.

Nina ma fans wengi kweli hata kama baadhi yao hawataki kukiri lakini najua kimya kimya wananifagilia tu.

Ndo maana kila nilipo na wao wapo kuona what I'm up to.

I run JF ma nigga....hahahaaaa.😀😀😀😀😀.

Tena napenda sana wakija maana kurasa huwa zinajaa kweli.

Soon nita organize bonge la party kwa ajili ya ma fans wangu tu halafu nitafanya draw ambapo washindi wawili watashinda trip ya kwenda Sin city na mimi kwa wiki nzima....all expense paid [by me].

I love my fans...especially the card-carrying lifetime members of my fan club.

Without them there wouldn't be me.

Itabidi nimwombe Maxence Melo na Invisible wanitengenezee sub-forum yangu kabisa ili fans na haters wapate jukwaa lao la kutiririkia.
 
Sasa wakiona hivi povu linawatoka na kutamani kwenda huko USA Baby.. Mwisho wa siku wanakuja kurusha matusi kama vichaa...

Teh teh na wengine wanakuja kukata viuno kama Shilole lakini mi wala...sina habari kabisa. Naendelea kuhondomola tu.😀😀

BTW Big Fella unaendesha gari gani?? Mini Van nini, mbona boneti hatuioni hata tuchungulie brand hiyo..

Whip yangu mbona nimeiweka leo...rudi nyuma huko utaiona tu.

Next season vipi lakini? Mtaenda 80-2 na kuchukua ubingwa?
 
hehehehehe labda inamuuma tunavyomweka jamaa busy hapa mpaka huko PM anashindwa kuwajibu..

Come on now...hivi niseme mara ngapi kuwa mimi sina uhusiano na yeyote humu?

PMs zenyewe kuandikiwa labda ni mara moja kwa mwaka.

Acheni hizo bana.

Can't we all just get along?

USA baby
happyunitedstatesflag.gif
happyunitedstatesflag.gif
happyunitedstatesflag.gif
.

Shouts out to my haters [fans] too. I love y'all. Thanks for letting me live rent free in your heads.
 
Hahahaa I'm the shit playboy.

Nina ma fans wengi kweli hata kama baadhi yao hawataki kukiri lakini najua kimya kimya wananifagilia tu.

Ndo maana kila nilipo na wao wapo kuona what I'm up to.

I run JF ma nigga....hahahaaaa.😀😀😀😀😀.

Tena napenda sana wakija maana kurasa huwa zinajaa kweli.

Soon nita organize bonge la party kwa ajili ya ma fans wangu tu halafu nitafanya draw ambapo washindi wawili watashinda trip ya kwenda Sin city na mimi kwa wiki nzima....all expense paid [by me].

I love my fans...especially the card-carrying lifetime members of my fan club.

Without them there wouldn't be me.

Itabidi nimwombe Maxence Melo na Invisible wanitengenezee sub-forum yangu kabisa ili fans na haters wapate jukwaa lao la kutiririkia.
Hahahah alright playboy ila basi angalia the brats you keep kama huyo aliyekutetea hapo juu shes so 718 atleast kamata wale wa up in the hills ........
 
Come on now...hivi niseme mara ngapi kuwa mimi sina uhusiano na yeyote humu?

PMs zenyewe kuandikiwa labda ni mara moja kwa mwaka.

Acheni hizo bana.

Can't we all just get along?

USA baby
happyunitedstatesflag.gif
happyunitedstatesflag.gif
happyunitedstatesflag.gif
.

Shouts out to my haters [fans] too. I love y'all. Thanks for letting me live rent free in your heads.

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Teh teh teh SUPER NGABU!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom