Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,088
- 8,221
Wengi huwa wanatumia majini au mapepo kwahiyo mkijaribu kwa lengo la kumkomoa. Mtajikuta menogewa utamu, na pesa mtakuwa mnampelekea na kila mmoja atakuwa anamtafuta kwa muda wake apewe utamu na kila mmoja wenu mtakuwa mnaoneana wivu.
Hawa watu hawana tofauti na watu wanaopata utajiri kwa nguvu za giza.
Hawa watu hawana tofauti na watu wanaopata utajiri kwa nguvu za giza.
Wana njaa kweli.atafute wajinga wenzie