NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,538
- 17,473
Utanganyika na uzanzibari imeanza kusikika, wenye mamlaka nao wamekaa kimya hawataki kukemea ubaguzi huu unaoendelea nchini.
Tulishaungana tangu 1964, hakuna serikali ya TANGANYIKA wala ya Zanzibarinatikiwa iwepo hadi leo,tumewezaje kuungana bila serikali kuungana, Zanzibar inakuaje na serikali!? wakati TANGANYIKA haina serikali kwanini kuwe na serikali ya zanzibar?
Mi nadhani kukubali uwepo wa serikali mbili au tatu ni kuvunja muungano wetu, Serikali unatakiwa iwe moja tu wala si vinginevyo.
Kinachoitwa kero za Muungano ni matokeo ya serikali mbili za kibaguzi zilizopo kwasababu mzanzibari anapaswa awe na haki sawa na mtanganyika ndani ya serikali ya muungano wa Tanzania hiki kizungumkuti ndio kinaleta ubaguzi!
Zanzibar wala Tanganyika hazikupaswa kuwa na serikali ili kuonyesha kuwa tumeungana na sio muungano nusu yaani wa serikali mbili!
Tunapaswa tuwe na Rais mmoja na makam wake kutokea mahali popote pa muungano bila kujali uzanzibari wala utanganyika!
Niwaombe viongozi wakuu wa mihimili ya dola waanze kufikiria serikali moja tu ya muungano na sio mbili wala tatu!
Asanteni.
Tulishaungana tangu 1964, hakuna serikali ya TANGANYIKA wala ya Zanzibarinatikiwa iwepo hadi leo,tumewezaje kuungana bila serikali kuungana, Zanzibar inakuaje na serikali!? wakati TANGANYIKA haina serikali kwanini kuwe na serikali ya zanzibar?
Mi nadhani kukubali uwepo wa serikali mbili au tatu ni kuvunja muungano wetu, Serikali unatakiwa iwe moja tu wala si vinginevyo.
Kinachoitwa kero za Muungano ni matokeo ya serikali mbili za kibaguzi zilizopo kwasababu mzanzibari anapaswa awe na haki sawa na mtanganyika ndani ya serikali ya muungano wa Tanzania hiki kizungumkuti ndio kinaleta ubaguzi!
Zanzibar wala Tanganyika hazikupaswa kuwa na serikali ili kuonyesha kuwa tumeungana na sio muungano nusu yaani wa serikali mbili!
Tunapaswa tuwe na Rais mmoja na makam wake kutokea mahali popote pa muungano bila kujali uzanzibari wala utanganyika!
Niwaombe viongozi wakuu wa mihimili ya dola waanze kufikiria serikali moja tu ya muungano na sio mbili wala tatu!
Asanteni.