Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.

Umeongea vyema.

Watu wanasahau hata huko wanakodhani kuna uhuru wa kuyoa maoni wafanye rejeo la mmiliki wa Mtandao wa Wikleaks ni kitu gani kilimpata baada ya kutoa taarifa za kiuchunguzi na kijasusi za baadhi ya mataifa makubwa. Hadi leo yupo mafichoni
 

Waliongea hadharani tukawatambua. Na wewe kama unajiamini na habari zako kwa nini ufiche ID yako?
 
Worst president ever happened in Tanzania hafai! hafai! hafai hata kidogo JK kutupa huyu mtu ametuingiza chaka moja baya sana!
 

Tatizo ni kushindwa ni kushindwa kujiamini
 
Julian Asange hakufanya kosa lolote lakini sasa mwaka wa 3 jua analiona kupitia dirishani pamoja na vyombo vyote vya habari ku report huku ni kujipa moyo tu kuna waandishi wa Aljazeera wapo misri wameswekwa ndani lakini misri inapata misaada kibao kutoka marekani. Mimi ngoja ninyamaze maana nimeona wameanza kuzifuta comments zangu japo situmii lugha chafu na wanawaacha wanaotukana
 
Mbona povu linakutoka. Uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe na watawala lakini uhuru usiokuwa na mipaka ni utumwa na uwendawazimu. Endelea kubwabwaja sana lakini ukweli ndo huo. Suala la Max kushikiliwa hakuna anaye liunga mkono

Elewa hoja yangu vizuri. Siungi mkono hata kidogo kushikiliwa kwa Max mimi hoja yangu ni sisi members kujifanya wajuaji sana, badala ya kujenga hoja kwa facts tunakaa kubuni na kueneza habari za uongo na chuki huku tukijificha nyuma ya pazia la ID feki
 
Kwani manunuzi ya chadema kwenda kwa Lowasa yaliidhinishwa na nani??


Kwa jinsi bavicha mlivyo wachawi mnapinga hadi maendeleo ya watanzania!!!

Shame on you wakala wa mafisadi
 
Tatizo ni kushindwa ni kushindwa kujiamini
kama umewaanika jinsi walivyo fanya wizi wao unadhani watakusalimisha?, tena naona awamu hii inweza kuwa corupt kuliko zilizo tangulia kwasababu inataka kufanya mambo yake gizani!!!, walianza na bunge kufichwa,...................
 
Mimi maoni yangu ni kwamba ameshindwa moja kuporomoka kwa soko la hisa kufirisika kwa mabenki kuuma kwa biashara kushukuru kiwango cha uwezo wa bandari kunyanyasa wawekezaji kunywa wanafunzi elimu ya juu vyuo kuongeza kushukuru thamani ya fedha ya Tanzania kukosa kana dawa zikiwamo chanjo kukandamiza democrasia maisha na uchumi wa mwananchi mmoja mmoja kuporomoka Magufuli ameshindwa na hii ni laana inamwandama
 
Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema

Clueless
Maybe yu think yu are in a dark area, but yu are seen so clearly. Sipendi asiyejipenda. Usimfuate Nyani Ngabu ndugu, hawa wana pa kujificha, tena wengine ni maccm wametumwa humu jf kulianzisha halafu kina bendera hufuata upepo wajitumbukize kumbe ndo kuishia hivyo.
Poleni, hamnipati ng'oo familia yangu bado changa nina kitoto tumebarikiwa juzi tu hata mama yao hajamaliza siku za kunywa mtori.
 
Likiwaka jua lawama ,ikinyesha mvua lawama,akiwa mpole lawama ,akiwa mkali napo lawama,mwisho wa yote ni kuwa kila mtu ana mtazamo tofauti,na pia tukumbuke wanaosoma habari kwenye mitandao ni kikundi kidogo tu na wengi wao sio wapiga kura na hawapo nchini kushiriki ujenzi wa Taifa ama kweli fimbo ya mbali haiui nyoka.
 
Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
ha ha ha ha ha
 
Kadri unavoogopa kufa ndivo unavokufa haraka,maana ukiogopa hutoendesha chombo cha moto,wala hutokwenda shamba isijeigwa na nyoka,hutolala ukiogopa usingizi.utakufa haraka na njaa.nadhani tunatoka mchana tunaenda usiku,andaeni vijinga maana tutakanyagana na hili haijalishi umeva gwanda wala ganda,utakanyagwa tu!
 
Unakimbilia wapi andika polepole kwa umakini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…