Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Dhambi gani shem jamani!!!
Halafu ni muda huwa unakuja kule???!

Lazima wakushindwe tuu maana mwendo wa swahiba wako sio wa nchi hii jamani
Haha msalimie homeboy T . Mwambie akilenga alenge kweli asilete mchezo lol


Shem lakini si tuliambiwa enendeni mkajazee au!
 
Mkuuu Inna please kuja mapema ulete maneno hapo na sio muziki, maana huwezi simamisha moyo ya shem wangu huku wewe una raha zako.

Please tiba ya moyo ya Saint Ivuga kuja mapema kabla moyo yake haijasimama kabisa.


wooooow Inna
Sister..... Niitie Basi huyu @all MMU ladies.....

Nikiona jina lake yani dah nimewaza mbali sqana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom