Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

Demu mwenye chuchu kubwa hata sina mzuka nae hata uwe mzuri vipi labla nikupitie na kusepa kama kipanga!
 
Tehee binadamu bana hakosi kukosoa. Angekua na mtindi wa maana kama wa bi Fatu pia ungelalamika demu wangu ana mtindi kama ananyonyesha yatima, ana tu duchu pia lawama kwamba hatushikiki wala hatunyonyeki. Yaani bora tungepewa nafasi ya kuchagua kama nguo dukani itakayo kufaa ndio unanunua. Otherwise ni shida ndio maana tunaambiwa tuvumiliane kwenye mapungufu hakuna mkamilifu. Inawezekana hata wewe kuna kitu hakipendi ila anakuvumilia tu
Safi
 
weee usiniletee watu tarehe zimekaa kichwani na tunajua kuzipangilia
Hapo sikubaliani na wewe hata iweje,tarehe zina risk kubwa sana,yaani danger days ni hazifai kwa kukinga mbegu zisigonge ndani,ukitaka kuzaa bila mpangilio basi endekeza tarehe baaaaasi.
 
Wakati namtongoza nilivutiwa na sura yake nzuri lakini kwa kweli kuna jambo moja naliona kama haliko perfect kabisa.Ni binti wa miaka 24, tatizo lake ana matiti madogo yaani sijui ni ugonjwa au ni mambo ya gene heritage.

Nikiwa naye kwenye faragha najikakamua kiutu uzima tu ila nashindwa kuenjoy mapambo halisi ya kifuani.

Wakuu hali ya binti kuwa na matiti madogo ni ugonjwa au husababishwa na nini?
Wenzio huyo ndiye tinamtaka, yaani hayo matiti unakachukua kamoja unakameza, kanaenea mdomoni. Niunganishe basi comrade!!!
 
Hapo sikubaliani na wewe hata iweje,tarehe zina risk kubwa sana,yaani danger days ni hazifai kwa kukinga mbegu zisigonge ndani,ukitaka kuzaa bila mpangilio basi endekeza tarehe baaaaasi.
mhhhh difference ya watoto wangu ni 4 years mkuu na tunajitambua.

take it from me. it is only a matter of attention.
 
Halafu kuna sababu ingine inayokuza mtindi,nayo ni abortion.
haaah madaktari tuko wengi kweli.

sawa mkuu nimekupata.

Mbona ya natural husemi? au huoni kama uumbaji wa Mungu unawezekana.

Y only negative side and not positive side?

jst inquiring.
 
Wakati namtongoza nilivutiwa na sura yake nzuri lakini kwa kweli kuna jambo moja naliona kama haliko perfect kabisa.Ni binti wa miaka 24, tatizo lake ana matiti madogo yaani sijui ni ugonjwa au ni mambo ya gene heritage.

Nikiwa naye kwenye faragha najikakamua kiutu uzima tu ila nashindwa kuenjoy mapambo halisi ya kifuani.

Wakuu hali ya binti kuwa na matiti madogo ni ugonjwa au husababishwa na nini?
Dah mkuu wewe hupendi ya saa sita kamili?? Wataka ya saa 12 jioni?? hahahaaaaa....
 
Back
Top Bottom