Ni hulka sio ubishoo naona hayo maneno yanaelezea zaidi hisia zangu kuliko ya kiswahili,Halaf cku nyingine acha kuandika kibishoo
Hapo ndio akiona ru au kusikia harakati hizo anakua mpoleMtafutie mke mwenzie tu...![]()
![]()
MhNaona unaandika Kwa kutulingishia hivi
Yaani ni janga huelewi kama ni kweli au ni magumashiKm unansemea mm kk kuna wifi yenu ypo hvyohvyo anaomba msamaha vzr bc atajirekebisha cku ya kwanza ya pili ya tatu yleyleeeeee tunagombana tena ila mi bdo cjafikiria kumuacha nampa muda kdg!
Kukomaa yahitaji moyoUkichoandika utadhani unajua maisha yangu ila mimi nimeamua kukomaa tu kwa imani moja tu kila mwanamke ana mapungufu yake
Uvumilivu una kikomo ata yesu aliwavumilia wayahudi mwisho kisha ulipomshinda akawaletea warumiWe hujui kwamba watu wanaishi au wanadum pmoja kwa kuvumiliana na kuchukuliana?
She's sanguineKama wewe melacholic tafuta choleric au sanguine uone mziki wake usikimbie nyumba kwakua kuna sisimizi tafuta dawa ya kuua hao sisimizi mkuu.
Mema yapo ila mabaya sasaAnza kumuacha taratibu taratibu
KivpAnza kumuacha taratibu taratibu
Yaani kushirikisha watu kizazi hiki ni kujianika tuAna umri Gani????
Kama mnamtoto Ni vema mkakaa pamoja, tafuta watu wenye busara anaoweza kuwasikiliza mpeleke
Umenikumbusha Biology class. Sijui kama haya mambo ni kweli aiseee...Kama wewe melacholic tafuta choleric au sanguine uone mziki wake usikimbie nyumba kwakua kuna sisimizi tafuta dawa ya kuua hao sisimizi mkuu.
Then pray to God that you drink that bitter cup without saying eloih eloih lamah sabakithan!She's sanguine