Nataka nikope pesa Bayport

Mkuu nitafute mimi unapata mkopo wako within 48HRS tu hukohuko Bayport unakokutaka, japo mimi nilikimbilia platinum bado wananinyonya
 
mhudum alinambia nkikopa mil 1.5 ikikatwa ndan ya miez tisa riba itakuwa lak tatu na nusu!!! sasa wew unaposema mil 2 riba iwe mil 4 kvp mkuu hebu elezea
We kopa tu cha msingi tatua tatizo lako
 
Ndugu 44mg44 yaani watu wote hawa unahisi wanakuambia uongo? Lakini najua utarudi ukiwa unalia. Huwa wana maneno matamu hivyohivyo ila baadaye utakuja kujionea baada ya kukopa huko Bayport
 
Namshauri akipata hiyo pesa asiweke dhamana Nyumba au kiwanja kitaenda bure bora aweke dhamana mshahara.Ikiwezekana aweke na pesa ya kumzikia (kununua jeneza nk)
Hao Bayport usoporudisha marejesho kwa wakati wanaweza kuja kuchukua hadi chupi za mkeo/mumeo kufidia deni lao!!
 
ISAAC mwenyewe yuko gereza la Keko sijui alikosa nini. Ila kwa kweli ilikuwa ukifika unakaribishwa kifalme lakini ukishaingia kumi na nane zao KILIO KINAANZA.
 
Kwa nia nzuri tu; kama huna pahala pa kukopa ndo uende hapo otherwise utajutia.

-Riba ya kukomoa
-Ukitaka kurudisha kwa mkupuo wanakuzungusha wee
-Mkopo ukiisha kuna hatari ya kuendelea kukatwa.

#Nina ushahidi wa nilichoandika.

Za kuambiwa changanya na zako mkuu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom