josephat4312
New Member
- Mar 6, 2020
- 3
- 7
Habari!
Mimi ni kijana graduate wa Computer science and technology. Nimespecilize kwenye masuala ya programming hususani Full stack development (Website & App) Na Sasa nafanya Blockchain na data science.
Wazo langu nataka nifungue kampuni ambayo itadeal na masuala ya website design and development lakini mm nataka nifanye tofauti kidogo Yani website ziwe developed from scratch with outstanding designs na sio ku edit WordPress, Joomla Nk sambamba na cross platform Apps.
Then hapo badaye kampuni ikisimama nataka niongeze section za Blockchain , data science na cyber security , embedded systems na custom software.
Wakuuu na amboni mawazo ya mwongozo katika hili.
Mimi ni kijana graduate wa Computer science and technology. Nimespecilize kwenye masuala ya programming hususani Full stack development (Website & App) Na Sasa nafanya Blockchain na data science.
Wazo langu nataka nifungue kampuni ambayo itadeal na masuala ya website design and development lakini mm nataka nifanye tofauti kidogo Yani website ziwe developed from scratch with outstanding designs na sio ku edit WordPress, Joomla Nk sambamba na cross platform Apps.
Then hapo badaye kampuni ikisimama nataka niongeze section za Blockchain , data science na cyber security , embedded systems na custom software.
Wakuuu na amboni mawazo ya mwongozo katika hili.