Nataka niende mikoa, Dar es Salaam kugumu

Wangari Maathai Nililala Station Moro, Mto bag langu.

Asubuhi nikaondoka, yaani hata kutembea tu nilikuwa natembea kwa shida mpaka nikawa naona watu wananiangalia ( Najua tu walikuwa wanaona kweli jamaa ana shida sana )

Kumbuka, Nimepanda train bila kujua naenda wapi, nafikia wapi na kufanya nini ~ Nilishukia Moro kwasababu ndio ilikuwa mwisho wa nauli yangu.

Nikawaza, Nikaamua kwenda kwa rafiki yangu mmoja ( naye alikuwa anabebwa na mtu tu, siyo ndugu yake ).

Kama ujuavyo ukifika kwa mtu lazima useme unaondoka lini, isije kuonekana kama ndio umehamia.

Siku Nimefika ilikuwa Jumamosi, Na Jumatatu nikatakiwa niondoke. Chuo nilikuwa nimepata ila nilichelewa kuripoti kutokana na kukosa ada, wakasema hawapokei tena.

Basi, Kuna mshkaji wangu alikuwa huko kijijini ( nilikuwa namsaidia kuapply vichuo NACTE ~ Kwa sasa Assist C.O ) Nikamwambia kuna nafasi chuo fulani wametoa watu waapply second selection atume pesa nimfanyie. Lengo akishatuma nijifanyie mwenyewe - huenda majibu yakitoka nitakuwa nimepata ADA.


Very touching stry jaman! So bado unasoma kwahyo!dah Mungu huyu ana makusudi yake...

HUO NDO UANAUME JAMANI
 
Wangari Maathai Kweli Jamaa akatuma kama Tsh 25,000.

Ilipofika Jumatatu Nikapanda Gari Kutoka Moro Kuja Dar ( Bag Nikaacha Moro ).

Tulisafiri, Nikashukia Mbezi - Nikanunua Azam Ukwaju na Andazi, Nikala. Nikasikilizia umefika usiku. Nikacheck Jengo Bovu Halina Watu Nikalala Humo Mpaka Asubuhi.

Asubuhi, Nikaenda Kwa Waosha Magari Nikanawa Vumbi Tayari Kwa Safari Ya Kwenda Chuoni.

Nilivyofika Chuoni, Kwanza Kabla Sijafanya Application Tena. Nikawauliza. Mimi Nilipangwa Hapa Ila Nikachelewa Kuja, Naomba Kujua Kama Bado Naweza Kupokelewa Amma Lah.

Wakaniambia Una Hakika, Nikasema Yes. Wakacheck Kwenye Database Wakakuta Kweli.

Basi Wakanipa Registration Form Nifanye.

ADA BADO SINA ! Imagine

Aisee,

Yaani Ni Stori Ndefu, Ila Mwishowe Chuo Nilisoma Na Mpaka Leo Bado Niko Dar Es Salaam.
 
October man

Mkuu upo sahihi, Me nafkiri shyness na yenyew inachangia vijana wengi hapa dsm kushindwa kuanza na biashara yenye mtaj mdogo na hii ni kutokana na vi digiriii vyetu visivyokuwa na msing, kwa mkoani unaweza pambana ukatok coz hakuna mtu anakujua hko ata kama wapo bc ni wachaaache san


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangari Maathai Kweli Jamaa akatuma kama Tsh 25,000.

Ilipofika Jumatatu Nikapanda Gari Kutoka Moro Kuja Dar ( Bag Nikaacha Moro ).

Tulisafiri, Nikashukia Mbezi - Nikanunua Azam Ukwaju na Andazi, Nikala. Nikasikilizia umefika usiku. Nikacheck Jengo Bovu Halina Watu Nikalala Humo Mpaka Asubuhi.

Asubuhi, Nikaenda Kwa Waosha Magari Nikanawa Vumbi Tayari Kwa Safari Ya Kwenda Chuoni.

Nilivyofika Chuoni, Kwanza Kabla Sijafanya Application Tena. Nikawauliza. Mimi Nilipangwa Hapa Ila Nikachelewa Kuja, Naomba Kujua Kama Bado Naweza Kupokelewa Amma Lah.

Wakaniambia Una Hakika, Nikasema Yes. Wakacheck Kwenye Database Wakakuta Kweli.

Basi Wakanipa Registration Form Nifanye.

ADA BADO SINA ! Imagine

Aisee,

Yaani Ni Stori Ndefu, Ila Mwishowe Chuo Nilisoma Na Mpaka Leo Bado Niko Dar Es Salaam.


Yaan unawwza hisi ww umepitia kwenye njia ya miba kumbe kuna watu wamepitia magumu mno! Duh...usikate tamaa..! Songa mbele
 
Back
Top Bottom