Kwa nini usianzishe blog ya mikasi sababu Bongo hakuna blog ya Mikasi..jinsi ya kupata source zake muulize Kongosho.
Kwa nini usianzishe blog ya mikasi sababu Bongo hakuna blog ya Mikasi..jinsi ya kupata source zake muulize Kongosho.
why me? Sijui mkasi wala wembe
nna dred
Mkuu mikasi!!! Mimi hapo kidogo napingana na ww naona ni bora aanzishe ya wembe angalau zenyewe zina wateja kuliko mikasi siku hizi watu wengi hawatumii mikasi coz wananyoa saloon. Sasa atamuuzia nani tofauti na makamu wetu wa rais dk. Billal maana yy nasikia anaitumia sana kukatia utepe.
Samahani mkuu kama sijakuelewa labda ww ulimaanisha mikasa na siyo mikasi ni typing error tu.
we unaijua kila idara,nadhan ata hii industry ya mikasi utakuwa deep..hongera kwa dred,to be honesty huwa nazmia sana madada wenye dred then wako original.
Mkuu mikasi!!! Mimi hapo kidogo napingana na ww naona ni bora aanzishe ya wembe angalau zenyewe zina wateja kuliko mikasi siku hizi watu wengi hawatumii mikasi coz wananyoa saloon. Sasa atamuuzia nani tofauti na makamu wetu wa rais dk. Billal maana yy nasikia anaitumia sana kukatia utepe.
Samahani mkuu kama sijakuelewa labda ww ulimaanisha mikasa na siyo mikasi ni typing error tu.
Wa nje kwa kuanzia unaweza ukaupata kwenye hizi tovuti Celebrity Gossip | Entertainment News | Celebrity News | TMZ.com, Necole Bitchie.com, Sandra Rose, Bossip | Gossip for the Hardcore | Black Celebrity & Entertainment News, MediaTakeOut.com 2012
mkuu labda unazungumzia mikasi ipi?????Kwa nini usianzishe blog ya mikasi sababu Bongo hakuna blog ya Mikasi..jinsi ya kupata source zake muulize Kongosho.