Habari,
Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.
Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.
Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha