Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,094
- 136,664
nataka mimba ambayo itaresult mtoto umenipata hapo??
Wa kukujaza mimba unaye?
Kwa nini ulienda kwa dktr? Kama uko poa wewe vua nguo chagua tu gentlemen and handsome person ili mtoto wako asije fanana na mimi maana mimi sijawahi pendwa eti.
mkuu kama vipi mimi nina uwezo wa kukupa uja uzito ndani ya mwezi huhuu lakini ukishakua na ujauzito usianze kuniambia nikuoe. mimi nataka nizae na wewe na mtoto tutamhudumia wote. kabla ya kuchovya tunaenda kwanza kupima ngoma. unasemaje hadi hapo? ni kweli unataka mtoto uzae na mimi? mia
Kwa hyo,kwa kifupi we unatafuta jamaa wa kukugonga ili upate mimba then uzae sio?
patner wako nae alienda hosptl? Hana tatizo? Kama bado aende
Nenda kwa ng'ombe.
nani kakwambia na shida ya ndoa wewe??
Huyu Ng'ombe ni member humu JF?
mbona hamna sehemu nilipo andika ndoa? Kama kweli unataka mtoto Mimi nataka nikuzalishe. hadi hapo vipi? mia
mimba inaingiaje sistoo?nguo?zinahusika nini hapa?
mimba inaingiaje sistoo?
umesema nisije kukwambia unioe
mimi nachotaka ni kukuzalisha wewe ikifika mwakani siku kama ya leo uwe na mtoto. mimi nadeal na heading ya thread yako. tungeongea kwa pm, sasa kwakuwa hujibu pm mi naona tumalizane hapa hapa mbele za watu kwakuwa mtoto si kitu kibaya kuongea mbele za wanajf coz mwisho wa siku hawa hawa ndo watakao tupongeza tukishapata mtoto wetu. mia
Huyu Ng'ombe ni member humu JF?
Ng'ombe mnyama. Yaani namaanisha ng'ombe kabisa, yule anayefugwa.