Wakuu leo nimewaza sana hili swala la mimi kwenda kuoa, kiukweli sitakuwa na ule uwezo wa kutoa cash money yaani ile pap nitoe milioni 2 huku naitazama hapana,
ila nina mpango siku ya kwenda ukweni wanikopeshe mke kwa Riba isiyozidi 10%,
Nitakuwa nalipa kwa marejesho ya kila mwezi.
Sasa sijui kama kweli nitakopesheka ?
Cc Zero IQ
Kwakweli ni Changamoto Wakuu!
Beki tatu ni msaidizi wa boss mkuu mama watoto akiumwa msaidizi anatoa huduma sio dhambi
Ok mkuu cha msingi usiguse mtaji wako wa chipsKabisa mkuu umeotea
[emoji16][emoji16] tena unaoa alafu anakuja gheto anakupikia chai mbichi