Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Wakuu leo nimewaza sana hili suala la mimi kwenda kuoa, kiukweli sitakuwa na ule uwezo wa kutoa cash money yaani ile pap nitoe milioni 2 huku naitazama hapana,
Ila nina mpango siku ya kwenda ukweni wanikopeshe mke kwa Riba isiyozidi 10%,
Nitakuwa nalipa kwa marejesho ya kila mwezi.
Sasa sijui kama kweli nitakopesheka ?
Cc Zero IQ
Ila nina mpango siku ya kwenda ukweni wanikopeshe mke kwa Riba isiyozidi 10%,
Nitakuwa nalipa kwa marejesho ya kila mwezi.
Sasa sijui kama kweli nitakopesheka ?
Cc Zero IQ