MATTBOY
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 262
- 195
Habari za wakati huu wana JF,
Bila kupoteza muda mimi ni kijana wa Kitanzania ninayeishi nchini Kenya kwa sasa, maisha ya huku sio mbaya lakini kutokana na shauku yangu ya kutaka kufanikiwa kimaisha au kufikia malengo yangu niliyojiwekea, natamani tena nisonge mbele ya hapa nilipo.
Nilipokuwa nawaza pa kwenda nilipatana na rafiki mmoja aliyeniambia kuna fursa za kwenda kati ya hizo nchi mbili nilizotaja hapo juu.
Nikaona sio vema niende pasipo ichunguza vizuri, nikaona sehemu ya kuweza kupata msaada zaidi juu ya hizi nchi mbili ni hapa JF. So naomba ndugu zangu mnisaidie kuniambia kuhusu hizi nchi mbili kwa aliyewahi kuishi huko kikazi au kutembelea tu.
Kinachonipeleka Dubai au Qatar ni kwenda kufanya kazi ya Security.
Asanteni kwa ushauri wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kupoteza muda mimi ni kijana wa Kitanzania ninayeishi nchini Kenya kwa sasa, maisha ya huku sio mbaya lakini kutokana na shauku yangu ya kutaka kufanikiwa kimaisha au kufikia malengo yangu niliyojiwekea, natamani tena nisonge mbele ya hapa nilipo.
Nilipokuwa nawaza pa kwenda nilipatana na rafiki mmoja aliyeniambia kuna fursa za kwenda kati ya hizo nchi mbili nilizotaja hapo juu.
Nikaona sio vema niende pasipo ichunguza vizuri, nikaona sehemu ya kuweza kupata msaada zaidi juu ya hizi nchi mbili ni hapa JF. So naomba ndugu zangu mnisaidie kuniambia kuhusu hizi nchi mbili kwa aliyewahi kuishi huko kikazi au kutembelea tu.
Kinachonipeleka Dubai au Qatar ni kwenda kufanya kazi ya Security.
Asanteni kwa ushauri wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app