middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,307
- 1,681
Hao wakorea hawana ubaguzi kwa ngozi nyeusi kweli?
Ubaguzi ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Hao wakorea hawana ubaguzi kwa ngozi nyeusi kweli?
Unataka kujua nini mkuu, funguka.
Dubai ni dubai haina mji mwingine ila kuna nchi 7 zimeungana ikaitwa united arab emirates.kama vile tanganyika na zanzibar zilivyoungana ikaitwa tanzania ukipewa viza unaweza kwenda dubai ,abudhabi,sharjah,ajman,umm guwein, rasilkheima,fujeira hizo ndio nchi ziliounganaAsante sana , je ni mji gani unaweza nishauri niende kwa dubai au Qatar coz Agent ameniambia nitachagua town yenye nitapenda atume maombi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio upon huko....tupe njia za kwenda kufanya kazi Qatar...maagent bongo wapi au mpaka Kenya?
Kati ya Qatar na UAE wapi rahisi kupata kibarua na kuishi kwa amani na usalama kama RAIA mweusi wa kigeni.Dubai ni dubai haina mji mwingine ila kuna nchi 7 zimeungana ikaitwa united arab emirates.kama vile tanganyika na zanzibar zilivyoungana ikaitwa tanzania ukipewa viza unaweza kwenda dubai ,abudhabi,sharjah,ajman,umm guwein, rasilkheima,fujeira hizo ndio nchi zilioungana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Sana kwa kutaka kujaribuHabari za wakati huu wana JF,
Bila kupoteza muda mimi ni kijana wa Kitanzania ninayeishi nchini Kenya kwa sasa, maisha ya huku sio mbaya lakini kutokana na shauku yangu ya kutaka kufanikiwa kimaisha au kufikia malengo yangu niliyojiwekea, natamani tena nisonge mbele ya hapa nilipo.
Nilipokuwa nawaza pa kwenda nilipatana na rafiki mmoja aliyeniambia kuna fursa za kwenda kati ya hizo nchi mbili nilizotaja hapo juu.
Nikaona sio vema niende pasipo ichunguza vizuri, nikaona sehemu ya kuweza kupata msaada zaidi juu ya hizi nchi mbili ni hapa JF. So naomba ndugu zangu mnisaidie kuniambia kuhusu hizi nchi mbili kwa aliyewahi kuishi huko kikazi au kutembelea tu.
Kinachonipeleka Dubai au Qatar ni kwenda kufanya kazi ya Security.
Asanteni kwa ushauri wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Contract ya kazi ieleweke kabisa la sivyo utarudi bila password huko kwa nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi connection za kwenda kusoma dini kama mwamvuli wa kuishi huko zinapatikana kwa waafrika waislamu?Unahitaji kuwa na budget yako iliyotulia tu sehemu za kukaa wanakuwa nazo wakenya na watz ambazo ni sharing kule maeneno ya Sharjah Al Nahda unalipia kwa mwezi ukipata kazi unahamisha makazi
Visa ya mtanzania haichelewi labda sijui kwa wakati huu wa coco
kwa ilo sijajua na kama lipo basi sponsorship na mpango mzima unawezafanywa na utendaji wa bakwatavipi connection za kwenda kusoma dini kama mwamvuli wa kuishi huko zinapatikana kwa waafrika waislamu?