johbizzy
Member
- Sep 8, 2015
- 73
- 49
Wakuu poleni na majukumu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32, nimepambana sana bongo nikafanikiwa kujenga kibanda na kununua gari ndogo Mambo yalikuwa vizuri lakini baada ya Samia kuingia madarakani ndipo Mambo yalipoanza kuharibika.
Nilivunjiwa vibanda vyangu vya tigo pesa, m pesa, yaani mtandao kiujumla, nikaibiwa pesa zangu zote bahati mbaya nilikuwa na mkopo bank maisha yakaanza kuyumba, nikajikuta nashindwa kulipa Deni, gari yangu Nikaifanya Uber na bolt lakini mambo bado magumu.
Sasa nakuja kwenu wazee nimepata mchongo Dubai wa kulipwa dollar 500 kwa mwezi kulala, chakula, bima juu ya boss, naomba ushauri wazee niende au niendelee kupambana bongo japo mambo magumu.
Nilivunjiwa vibanda vyangu vya tigo pesa, m pesa, yaani mtandao kiujumla, nikaibiwa pesa zangu zote bahati mbaya nilikuwa na mkopo bank maisha yakaanza kuyumba, nikajikuta nashindwa kulipa Deni, gari yangu Nikaifanya Uber na bolt lakini mambo bado magumu.
Sasa nakuja kwenu wazee nimepata mchongo Dubai wa kulipwa dollar 500 kwa mwezi kulala, chakula, bima juu ya boss, naomba ushauri wazee niende au niendelee kupambana bongo japo mambo magumu.