Nataka kwenda Kenya Kutembea

Nataka kwenda Kenya Kutembea

Kenya ni nje ya nchi au mpakani tu hapo
 
Kam kichwa cha habari hapo juu nataka kwenda kumtembelea rafiki yangu Kenya .
Passport ninayo ,nina uwoga kidogo sijwahi kwenda nje ya Nchi, naomba muongozo napitia Mombasa.

Natakiwa kuwa na nini, Na nini sitakiwi kuwa navyo,maswali hapo uhamiaji.

Mwenye experience please.
Kam kichwa cha habari hapo juu nataka kwenda kumtembelea rafiki yangu Kenya .
Passport ninayo ,nina uwoga kidogo sijwahi kwenda nje ya Nchi, naomba muongozo napitia Mombasa.

Natakiwa kuwa na nini, Na nini sitakiwi kuwa navyo,maswali hapo uhamiaji.

Mwenye experience please.
kuna magaid huko
 
Nakuomba sana usifike githurai, huko watu wanaiba hata pesa ambayo unaitarajia kuishika, kule ukitaka kuandika sms, basi hiyo simu iwe mfukoni, maana ukiitoa tu, imeenda.
Welcome to Nairobery
 
Nakuomba sana usifike githurai, huko watu wanaiba hata pesa ambayo unaitarajia kuishika, kule ukitaka kuandika sms, basi hiyo simu iwe mfukoni, maana ukiitoa tu, imeenda.
Welcome to Nairobery
Githurai iko wapi
 
Tanzania ipo kenya 😀😀
Kwahiyo usiogope
Umeshafika kenya zamaaani
 
Safari njema broo ....naona maelekezo yote yameshatolewa ...ukienda msalimie na Diamond wa kipande kile
 
niko Salama Kabisa na mshukuru Mungu ni poa Kabisa
I FEEL AT HOME kwa kweli na shughuli za by election hapa MALINDI ziko juu sana
 
Ukienda tusaidie kupiga picha Olduvai ...uje utuonyeshe.
 
Back
Top Bottom