MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Uende ukaishi na wakenya kama unavyoishi na watanzania, huko pia kuna ukimwi kama ilivyo huku Tanzania uwe mwangalifu
Kweli mkuu wameanza na Mrisho Mpoto.sijui kama utarudi,maana jamaa hao kila kitu cha Tz wanasema ni chao
ha haaa....kazi ipoKweli mkuu wameanza na Mrisho Mpoto.
Endelea kuomba mungu angalia Wasije wakasema ww ni mkenya manake hawashindwi.Aisee namuomba Mungu anitakungulie nirudi salama
Sifiki nairobiNunua kenya money kabla hujaingia kenya utapata rate nzuri huku. Ukienda nrb kuna simba wametoroka national park wako mtaani sijui kama washawakamata wote.
Sawa nitachange TangaJiandae kukutana na vitu tofauti kabisa japo ni hapo jirani na Tz.Maisha ni magum kidogo pia change hela huku huku.
Haaaa haaaa haaaasafi kakuze utalii pia, usisahau ulizia ''Olduvai Gorge'' ya kwako iko wapi wakupeleke! Ucende bure bro... Kitu amazing
Nimekata Tahmeed vipi kwenye kuchange pesa? Mkuu muongozoKama wadau walivyosema.. Passport.. Yellow fever vaccination card.. Ni muhimu sana.. Lakini pia kama unapitia Mombasa panda Tahmeed au Tawakal coach wako vizuri.. Lakini pia kuwa makini kwenye kubadilisha pesa... Safari njema
Aaaaah Asante sana Mkuu jambo la maana sana sikulifahamuAngalia mkuu usijetupa taka ovyo ukadhani upo kwa sizonje. Alafu mtafute mpoto mwambie asirudi Tz raia tumesungusi tunaweza kumuharibia safari.
Nashukuru sana Mkuu,JF ni shule toshaPassport na yellow card ndo priority
Asante sana natarajia kupita kuelekea MalindiMombasa Raha sheikh wangu!.,karibu Kiembeni ule japo nsima wa mama Nyambura!
Usibebe bangi.Kam kichwa cha habari hapo juu nataka kwenda kumtembelea rafiki yangu kenya .
Passport ninayo ,nina uwoga kidogo sijwah kwenda nje ya Nchi naomba muwongozo napitia Mombasa .
Natakiwa kuwa na nini ? Na nini sitakiwi kuwa navyo,maswali hapo uhamiaji mwenye experience please.