Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,360
- 91,912
😳unataka uache ile kazi ya Mpwayungu Village ?
😳unataka uache ile kazi ya Mpwayungu Village ?
mbona unatoa macho ?😳
Hata yule agent anae kukatisha ticket ya Ndege nae ni Winga pia!!Kibaka anayekuwa na bidhaa mbili mkononi kama machinga lakini hasa anachokifanya ni wizi
itakuchukua mda sema ungekua muwazii uwinga wako utahusiana na nini mfano nguo, electroni tv, simu n.kNaombeni ushauri jinsi ya kuwa winga KARIAKOO sijawahi kufanya hii mishe na sijui pa kuanzia nifanyaje ili niweze kufanya, wiki ijayo naingia Dar kutoka Singida na Ni mara yangu ya kwanza kufika Dar![]()
Unapiga mishe gan?Nipo dar ila napiga mishe tofaut mkuu
CHULight LED bulbs 5W
TUNAUZA JUMLA: 13,000/10pc
:- TUNATUMA HADI MIKOANI
MIKOANI TUNATUMA Sasa mfano kama hauna mtu anayeweza kukusaidia kuwa winga uko unafanyeje apo maana hata mimi natamani nianze hii mishe shida connection na mimi natamani nianze kwenye vifaa vya umememe mean blenda sabufa nk yani vyote vitakavyohusika na umemewinga unaweza kupata ila jipendekeze mtaa fulani na tafuta rafiki atakaye weza kukupa msaada kuaminiwa na wenye bidhaa na maduka.
ila uvumilivu,heshima,tabia na kutokuwa na tamaa vinakufanya haraka kuwa winga
Winga wa bidhaa za umeme Ila kama Kuna nyingine tunafanya nipo dar miaka Sasa lkn nakosa connection hizi ishu za uwingaWingaa wa bidhaa gani ujasemaa ukamalizaa