Wingaa wa bidhaa gani ujasemaa ukamalizaaNaombeni ushauri jinsi ya kuwa winga KARIAKOO sijawahi kufanya hii mishe na sijui pa kuanzia nifanyaje ili niweze kufanya, wiki ijayo naingia dar kutoka singida na Ni mara yangu ya kwanza kufika dar
Search humu humu utaona nyuzi za mawinga..Naombeni ushauri jinsi ya kuwa winga KARIAKOO sijawahi kufanya hii mishe na sijui pa kuanzia nifanyaje ili niweze kufanya, wiki ijayo naingia dar kutoka singida na Ni mara yangu ya kwanza kufika dar š
Kama ni Mara yake ya Kwanza kufika Kariakoo anatakiwa aanze kuwa winga wa Vinywaji baridi hasa hasa maeneo ya stand za daladala! Akisha pata uzowefu wa Jiji ndiyo Sasa anaweza badilish bidhaa! Ni ushauri tu neno langu si Sheria!!Wingaa wa bidhaa gani ujasemaa ukamalizaa
Mtu yoyote anaweza kua Winga, kwa mfano nikimtaka rafiki yako pisi kali alafu nikakutuma uniletee kwa malipo flani baada ya kumleta, tayari na wwe ushakua Winga wa Milupo!!Winga ndo nini
Weee, usiniambie!?...nipe deal hilo mkuuš„“Mtu yoyote anaweza kua Winga, kwa mfano nikimtaka rafiki yako pisi kali alafu nikakutuma uniletee kwa malipo flani baada ya kumleta, tayari na wwe ushakua Winga wa Milupo!!
Unapenda Jezi namba ngapi?Naombeni ushauri jinsi ya kuwa winga KARIAKOO sijawahi kufanya hii mishe na sijui pa kuanzia nifanyaje ili niweze kufanya, wiki ijayo naingia dar kutoka singida na Ni mara yangu ya kwanza kufika dar š
Alafu inaonekana wwe utakua Winga wa kimataifa,uko faster kuchangamkia bidhaa adimu!!Weee, usiniambie!?...nipe deal hilo mkuu
š¤£š¤£š¤£š¤£HatareeAlafu inaonekana wwe utakua Winga wa kimataifa,uko faster kuchangamkia bidhaa adimu!!
aliekupa Wazo la kuja kkoo kupiga winga ni nani?Naombeni ushauri jinsi ya kuwa winga KARIAKOO sijawahi kufanya hii mishe na sijui pa kuanzia nifanyaje ili niweze kufanya, wiki ijayo naingia dar kutoka singida na Ni mara yangu ya kwanza kufika dar š
Nampaa Siri! sumu ya Winga! Usipende kujikopesha! Utakimbia kijiwe!!winga unaweza kupata ila jipendekeze mtaa fulani na tafuta rafiki atakaye weza kukupa msaada kuaminiwa na wenye bidhaa na maduka.
ila uvumilivu,heshima,tabia na kutokuwa na tamaa vinakufanya haraka kuwa winga
unataka uache ile kazi ya Mpwayungu Village ?Weee, usiniambie!?...nipe deal hilo mkuuš„“
Kibaka anayekuwa na bidhaa mbili mkononi kama machinga lakini hasa anachokifanya ni wiziWinga ndo nini
wizi kivipi jemimaKibaka anayekuwa na bidhaa mbili mkononi kama machinga lakini hasa anachokifanya ni wizi