Nataka kuwa PREMIUM Member.....

Nataka kuwa PREMIUM Member.....

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,119
Habari ya siku wapendwam

Nimewamiss sana maana sikuwa kwa jukwaa kwa muda kidogo but now nimerudi. Leo natangaza rasmi kwamba nataka kuwa JF Premium Member kwasababu nimekuwa naanzisha threads na bahati mbaya baadhi ya hizo zimekuwa zinapelekwa kwenye majukwaa ambayo sina access nayo.

Haya rasmi natangaza kutaka kuwa Premium member ili niwe na access ya kotekote.......:spy:
 
Unatangaza bila kuchangia? Ni sawa na kutaka mke bila mahari.
Mwita unfortunately huwezi kuwa Premium bila kuchangia labda umesahu kwamba kila kitu kinaanza na nia...............
 
Mtumie Invisible mshiko huo soon unakua premium member!
 
wasiliana na invisible.......

huwa unatumiss mara kwa mara eehh......

mara nyingi unatuambiaga hivyo......
 
waziri mkuu wa uingereza anaitwa nani!!!
watanzania mnapenda vya dezo eehhh
 
wasiliana na invisible.......

huwa unatumiss mara kwa mara eehh......

mara nyingi unatuambiaga hivyo......
This is my lounge siku hizi ninapopata habari na ukweli halisi, nawamiss nyie sana coz ndio wenzangu ndani ya lounge
 
Hao woooteeee wanaokuambia changia ina maana wao hawajachangia maana ni"JF Senior Expert Members" a.k.a JSEM
 
Mkuu wasiliana na Invisible tuu na uchangie sio bure bure :lol:
 
Let me put this clear maana naona sasa watu wanaibuka na ya kwao hivi,

Nimesema sasa nataka kuwa JF Premium Member na wakati nasema hivyo nilijua kabisa kwamba kuna kitu fulani natakiwa kufanya kufikia status hiyo. Nimesema hapa nikatoa na sababu why nataka kuwa Premium member sasa watu wamekazana kunambia nichangie nichangie kwani nani kasema ukisema tu hapa unataka kuwa premium member then unakuwa?

Arrrgh!

Thnx kwa wale walionambia niwasiliane na INVISIBLE maana wao wamenionyesha njia ya nini cha kufanya sio wale waliokalia kunambia nichangie nichangie wakati wao hawajachangia chochote
 
Karibu sana, mimi mwenyewe niko njiani kwa hiyo tutakuwa wengi siyo wewe tu.
 
Natumaini kujiunga siyo siri kama ni siri mtujulishe.
Mi nilifikili mtu anapotaka kujiunga mnaojua au ambao mmejiunga toeni maelekezo kuliko tu kusema wasiliana na furani.?
 
Invisible nakuomba uendelee kuwa muungwana hivyo hivyo! Usije kumpa kijana anayetaka kuwa Premium masharti makali kama yale tuliyopewa na Cameroon!
 
Let me put this clear maana naona sasa watu wanaibuka na ya kwao hivi,

Nimesema sasa nataka kuwa JF Premium Member na wakati nasema hivyo nilijua kabisa kwamba kuna kitu fulani natakiwa kufanya kufikia status hiyo. Nimesema hapa nikatoa na sababu why nataka kuwa Premium member sasa watu wamekazana kunambia nichangie nichangie kwani nani kasema ukisema tu hapa unataka kuwa premium member then unakuwa?

Arrrgh!

Thnx kwa wale walionambia niwasiliane na INVISIBLE maana wao wamenionyesha njia ya nini cha kufanya sio wale waliokalia kunambia nichangie nichangie wakati wao hawajachangia chochote

Acha kuwa mkali basi na wewe!!

Kifupi ni kwamba ukitaka kuwa Premium Member ni "Uchangie" vinginevyo hakuna njia ya mkato ya kufika huko.

Siku njema punguza ukali basi
 
najua hata mimi sijachanga mwezi huu
ngoja nijipange pange nione kama mkono
utakuwa na kitu.
 
Back
Top Bottom