Tsh 1000+.Nalog offSh. Ngapi? 28-58 Over
Mtumie Invisible mshiko huo soon unakua premium member!
Hapana kaka ungesikiliza upande wake wa pili maana sidhani kama alifuta kwa maslahi binafsi bali maslahi yetu sote tunaoipenda JFSiku moja nilijiandaa kumtumia mshiko huyu jamaa baada ya kugundua anastahili kuchangiwa!, nilipoingia JF nikakuta amesitisha/amefuta habari ya msingi ya ufisadi wa JWTz (mnadhimu Shimbo) kwa maslahi binafsi. Basi niliamua kumpigia simu x wangu tukutane Paradise city hotel (kabla haijauzwa) jioni tufurahie tusahau yaliyopita!
najua hata mimi sijachanga mwezi huu
ngoja nijipange pange nione kama mkono
utakuwa na kitu.
just make a wish! three times infront of mode. he will instantly upgrade you.Habari ya siku wapendwam
Nimewamiss sana maana sikuwa kwa jukwaa kwa muda kidogo but now nimerudi. Leo natangaza rasmi kwamba nataka kuwa JF Premium Member kwasababu nimekuwa naanzisha threads na bahati mbaya baadhi ya hizo zimekuwa zinapelekwa kwenye majukwaa ambayo sina access nayo.
Haya rasmi natangaza kutaka kuwa Premium member ili niwe na access ya kotekote.......:spy:
Mbona rahisi sana kuwa premium memba. Weka post fupi fupi zilizojaa upuuzi mwingi kama Mwita 25 au kesha ndani ya JF kama Rejao. Ndani ya wiki moja unakuwa premium memba. MODS inabidi mboreshe criteria za kuwa premium memba.
mbona rahisi sana kuwa premium memba. Weka post fupi fupi zilizojaa upuuzi mwingi kama mwita 25 au kesha ndani ya jf kama rejao. Ndani ya wiki moja unakuwa premium memba. Mods inabidi mboreshe criteria za kuwa premium memba.
Yaani watu wanatafutwa kudundwa hivi hivi! Unabahati tu hapa ni mwendo wa keybord, hakyanan tena ningekukuta uraiani lazima ningekupasua!Mbona rahisi sana kuwa premium memba. Weka post fupi fupi zilizojaa upuuzi mwingi kama Mwita 25 au kesha ndani ya JF kama Rejao. Ndani ya wiki moja unakuwa premium memba. MODS inabidi mboreshe criteria za kuwa premium memba.
Habari ya siku wapendwam
Nimewamiss sana maana sikuwa kwa jukwaa kwa muda kidogo but now nimerudi. Leo natangaza rasmi kwamba nataka kuwa JF Premium Member kwasababu nimekuwa naanzisha threads na bahati mbaya baadhi ya hizo zimekuwa zinapelekwa kwenye majukwaa ambayo sina access nayo.
Haya rasmi natangaza kutaka kuwa Premium member ili niwe na access ya kotekote.......:spy:
halafu wewe hizi ga ga ga umezitoa wapi ?
Halafu fom zenyewe ni za kugombania...inabidi awahi mapema sana!!Ulichukua fomu za kugombea?
Kama hukuchukua, tutakupigiaje kura sasa?
Duu, hautaniwi mtani. Ila kuna kaukweli ndani yake broda...Yaani watu wanatafutwa kudundwa hivi hivi! Unabahati tu hapa ni mwendo wa keybord, hakyanan tena ningekukuta uraiani lazima ningekupasua!
Unatangaza bila kuchangia? Ni sawa na kutaka mke bila mahari.