Nataka kuwa pedeshee

Nataka kuwa pedeshee

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
hapa mujini hawa ma Pdg aka pedegee wanachukua sana totoz nzuri zote! Wanaimbwa sana kwenye masong, watu wanawaogopa sana! Natamani kuwa pedeshee je nifanyeje?
 
hapa mujini hawa ma Pdg aka pedegee wanachukua sana totoz nzuri zote! Wanaimbwa sana kwenye masong, watu wanawaogopa sana! Natamani kuwa pedeshee je nifanyeje?
Unaweza kujiunga na Chuo cha Upedeshee (CCU) kwa diploma ya Upedeshee King'amuzi. Chuo chao kipo Mabwepande. All the best.
 
jaribu kumconsult mzee Majuto atakusaidia!:A S 20:
 
Sio kazi rahisi lazima uwe na vielementi vya kibeberu,kitapeli,wizi ,ujambazi au fisadi papa mind u umaarufu hauji hivi hivi
 
Bishanga tafadhali kuja umrudishe kundini huyu ndugu yako!
 
Last edited by a moderator:
hapa mujini hawa ma Pdg aka pedegee wanachukua sana totoz nzuri zote! Wanaimbwa sana kwenye masong, watu wanawaogopa sana! Natamani kuwa pedeshee je nifanyeje?
Na wewe unataka kuchukua totoz nzuri?
 
TZ ukitaka kuwa maarufu just kiss ass kwa wadau,toa makalio soon na ww utakalia makalio...
 
Jiite Pedeshee Kenge kaka ya Mamba afu pita kwenye live band wanunulie waimbaji bia mbilimbili afu kiongozi wao muongezee na kuku robo na kiroba cha eleu miambili na SM au Embassy moja,wallah kesho yake utaanza kuskika, ukihitaji profeshno niPM
 
Boflo njo huyu hataki kufanya kaz bt anataka awe na pesa
 
Last edited by a moderator:
mbona cmple tu...tupia macheni ya gold,pete za gold vidole vyote ikiwezekana mpaka vya miguuni vaa pia!jitahidi uimbwe imbwe sana katka bendi za bolingo,tafta wapambe uwe unawanywesha wao kazi yao iwe kukusifia tu,thn ukiwa una lafudh ya kikongo itakua poa zaid!
 
Arabela nakuona hapa chini uko macho dada..??Hebu nikiss basi kabla sijamshauri huyu dogo..
 
Last edited by a moderator:
shona suluari km za waimba mziki wa kongo drc, weka gazeti nyingi kwenye waleti, chomekea juu ya kiuno, nyoa km papa wemba.....hapo utawakamata wengi.
 
hapa mujini hawa ma Pdg aka pedegee wanachukua sana totoz nzuri zote! Wanaimbwa sana kwenye masong, watu wanawaogopa sana! Natamani kuwa pedeshee je nifanyeje?

Hili neno nadhani lilitokana na wanamziki kutoka Zaire (Congo). Ni neno la kifaransa "prodiguer" likimaanisha "wasteful au tupatupa". Kwa hiyo kama hela yako sio ya kuhesabia chooni unaweza tu ukatumia kifisadi na muda si mrefu tutakuita Monsieur prodiguer au pedeshee, pedegee, pdg.
 
Hili neno nadhani
lilitokana na wanamziki kutoka Zaire (Congo). Ni neno la kifaransa
"prodiguer" likimaanisha "wasteful au
tupatupa
". Kwa hiyo kama hela yako sio ya kuhesabia chooni
unaweza tu ukatumia kifisadi na muda si mrefu tutakuita Monsieur
prodiguer
au pedeshee, pedegee, pdg.

okey nimekupata
 
Back
Top Bottom