Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Kupata totoz kali sio lazma uwe pedeshee, mkwanja kidogo + kagari kadogo ka kula bata utapata wakutosha.
ufafanuzi tafadhali ndio nini hii?ruhusu kuku ale punje
Jiite Pedeshee Kenge kaka ya Mamba afu pita kwenye live band wanunulie waimbaji bia mbilimbili afu kiongozi wao muongezee na kuku robo na kiroba cha eleu miambili na SM au Embassy moja,wallah kesho yake utaanza kuskika, ukihitaji profeshno niPM
asanteeee
nakupenda mke wangu The secretary,tunza mwanetu wakati niko London kikazi,nikuletee nini wife?
nakupenda mke wangu The secretary,tunza mwanetu wakati niko London kikazi,nikuletee nini wife?
mie nina c104 au insect drone. Usijali laazizi kwani mwanamke huwa hapendi anapendwa na roho yangu imekudondokeaErickb52 dear come this way umlipue huyu na b52
Koma kabisa usimwite mtoto (baby) mamito wangu ana baby huyo.Im here bby wangu Chocs
Ila naomba unipe nusu saa nirudi ili nifanye mambo yangu naona kuna mabomu hayajakaa sawa hapa!
BTW Nakumiss sana ma love!
Me tooooooooooooooooooooMiss you
Love you much
HahahahahaaaaaKoma kabisa usimwite mtoto (baby) mamito wangu ana baby huyo.
Laazizi Chocs usijihangaishe, jaribu kumpotezea huyu jamaa maana muwa mtamu (nanjilinji) ambao haujatafunwa si sawa na (Erickb52) ule uliokwisha tafunwa na kumalizika utamu. Jini turudi PM yetu mpenzi. Kama kuhama alisha hamia Tigo si Airtel zamani.Hahahahahaaaaa
Kijana hujipendi eeh? Chocs naomba uje ukanushe mahusiano na huyu nanjilinji kabla sijahamia Airtel
Nakuapia hivi Erickb52 mimi simtambui mtu huyu anayejiita nanjilinjiHahahahahaaaaa
Kijana hujipendi eeh? Chocs naomba uje ukanushe mahusiano na huyu nanjilinji kabla sijahamia Airtel
Umetumwa na kiwatengu eeLaazizi Chocs usijihangaishe, jaribu kumpotezea huyu jamaa maana muwa mtamu (nanjilinji) ambao haujatafunwa si sawa na (Erickb52) ule uliokwisha tafunwa na kumalizika utamu. Jini turudi PM yetu mpenzi. Kama kuhama alisha hamia Tigo si Airtel zamani.
Hata ungekua unamiliki vile visima vya kulee japan; mie hunikamati ng'omie nina c104 au insect drone. Usijali laazizi kwani mwanamke huwa hapendi anapendwa na roho yangu imekudondokea