sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
Last edited by a moderator:
Haya mwayandiyo mamito
Nakusubiri pale PM laazizi wanguHaya mwaya
Nshakua laazizi tena.....!!Nakusubiri pale PM laazizi wangu
Bishanga hata usimwite huyo Erickb52 mla vya wenzie na chake pia huliwa Chocs hapo alipo hajui siku wala saa atakayobwagwa namshauri awachukue na wageni walokuja wakina kamtu33 na Baraka Mungure awe na timu ya mpira mtindo wa 4-4-2 wasipotosha awaongeze nitonye, Mungi, manoah na Arushaone. Erickb52 abaki kuwa goalkeeper coz Madam B KASHAUNDA SACCOS
Nakusubiri pale PM laazizi wangu
Bishanga hata usimwite huyo Erickb52 mla vya wenzie na chake pia huliwa Chocs hapo alipo hajui siku wala saa atakayobwagwa namshauri awachukue na wageni walokuja wakina kamtu33 na Baraka Mungure awe na timu ya mpira mtindo wa 4-4-2 wasipotosha awaongeze nitonye, Mungi, manoah na Arushaone. Erickb52 abaki kuwa goalkeeper coz Madam B KASHAUNDA SACCOS
Babu taratibu usiniharibie ndoa ee
hapa mujini hawa ma Pdg aka pedegee wanachukua sana totoz nzuri zote! Wanaimbwa sana kwenye masong, watu wanawaogopa sana! Natamani kuwa pedeshee je nifanyeje?
jamani..........Kaazi kweli kweli....ukishakuwa pdeshee ufu nini faida yako kwa maisha yako ya baadae/uzeeni?
jamani..........
si ndo atamiliki falme zote
ha haaa, hilo tunalijua sisi my dear...... vijana acha wajirushe, kwa raha zao....Falme za dunia hazidumu.
Bora aulilie ule wa milele....mzima mamie?
ha haaa, hilo tunalijua sisi my dear...... vijana acha wajirushe, kwa raha zao....
Hofu kwako rafiki
nakupenda mke wangu The secretary,tunza mwanetu wakati niko London kikazi,nikuletee nini wife?rabeka mupenzi