Cc: prof. mshana jrHabari za leo.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunifunza namna ya kuwa karumanzila mahiri katika africa ya Mashariki kwa ujumla elimu yote ya Ulozi.
Karibu
Mpigie shetani simuHabari za leo.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunifunza namna ya kuwa karumanzila mahiri katika africa ya Mashariki kwa ujumla elimu yote ya Ulozi.
Karibu
Haha ha kwahiyo ww unajutaMimi hapana siwezi sitaki kabisa kumpeleka mtu kwenye matatizo, uchawi ni kama madawa ya kulevya kuacha ni ngumu na kadiri unavyouzoea ndio unataka zaidi
Mimi hapana siwezi sitaki kabisa kumpeleka mtu kwenye matatizo, uchawi ni kama madawa ya kulevya kuacha ni ngumu na kadiri unavyouzoea ndio unataka zaidi
Hapana sijawahi kujutaHaha ha kwahiyo ww unajuta
Anataka kuwa mlozi.Are u serious? unataka kuwa mchawi au mshirikina?
Ukipata uelekeo uni pm maana na mimi nataka.Habari za leo.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunifunza namna ya kuwa karumanzila mahiri katika africa ya Mashariki kwa ujumla elimu yote ya Ulozi.
Karibu
Mkuu, Uchawi ni kazi ya Ibilisi. Nakusihi ubadili nia, utafute namna ya kuwa mtakatifu!! Utafaidika sana kwa ulimwengu huu na ulimwengu ujao (Paradiso). Mwisho wa wachawi wote ni katika ziwa la moto (Jehanamu). Nakusihi ubadili nia, mtafute Yesu sasa. AmenHabari za leo.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunifunza namna ya kuwa karumanzila mahiri katika africa ya Mashariki kwa ujumla elimu yote ya Ulozi.
Karibu
Mimi nataka kuwa mchawi ila sitadhuru watuMkuu, Uchawi ni kazi ya Ibilisi. Nakusihi ubadili nia, utafute namna ya kuwa mtakatifu!! Utafaidika sana kwa ulimwengu huu na ulimwengu ujao (Paradiso). Mwisho wa wachawi wote ni katika ziwa la moto (Jehanamu). Nakusihi ubadili nia, mtafute Yesu sasa. Amen