Nataka kuwa Mchawi

Nataka kuwa Mchawi

Habari za leo.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunifunza namna ya kuwa karumanzila mahiri katika africa ya Mashariki kwa ujumla elimu yote ya Ulozi.

Karibu
duh.. kasheshe hii huenda usemi wa donald trump ukawa kweli hebu waifanyie uchunguzi hoja yake🙂
 
  • Thanks
Reactions: M45
1455461692622.jpg
1455461704005.jpg
1455461715075.jpg
haya yote itabidi uyafahamu
 
Basi haupo serious hapa kwetu hakuna chuo cha maana sana sana utashindishwa uchi upakawe majivu na mikaa na kuchunguliwa matusi...!baasi

Kumbe hakuna mganga wa ukweli bongo?
 
Back
Top Bottom